Akili zangu hazipo sawa
Senior Member
- Apr 23, 2020
- 160
- 118
Wakuu naamini kila mtu ni mzima wa afya,kama kichwa kinavosema hivi watu wanaokuzunguka huwa wanakuonaje mpaka wanakwambia jamaa huna hisia nakumbuka hali hii imenikuta sana level ya sekondari kote Olevel na advance,michango yenu tafadhari