Kumbe wewe una element za kibinafsii ndio maana fursa hii haikuja kwako [emoji23]pengine mungu alijuaa autakua baraka kwa wengine kwa kuwafunguliaa A B C pengine wewe ungeweza kukaa kimya na kupata Hela peke yako mwenzio ameonelea na wengine pia ambao wapo passioned na uandishii wanufaike pia...
Wanafunzi huwa hawapewii watengeneze system ya chuo for security issues
In realty mwanfunzii anapewaje mfumo atengeneeze wa kuifadhia matokeoo yake
Kumbuka apa tunaongelea wanafunzi wenye uwezo sio matechnician wa chuo
Na walii hack ni wanafunzi so far
Numbers do not lie
Mashindano ya cyber-challange ya tcra umefatiliaa ??
Mashindano ya cyber Africa umefatiliaa ??
Umewai kuwaza offer wanazotoa Huawei kwa IT specialist udom??
Umefatiliaa projects za IT udom zinavochukuliwa na kutumika katka taasisi za tanzania??
Unajua makao makuu ya E-gvt...
Fungua account ya CRDB ya mzigo flexa ambayo inakupa asilimia 9 kila mweziii ya ela ulioweka na kiwango Cha chni Cha kusave ni million 1 unaeza ukaongeza pia na unawezaa kutoa faida yako kila mweziii pia.
Ni bora kuliko kusave ela invest ela.
Nipo Dar-es-salaam
Nahitaji KUWA broker wa mpunga ..
Kununua mazao ya mpunga kati ya morogoro au mbeya.
Nahitaji kupata mchanganuo nawezaje Kuanza biasharaa hii ya kununua zao la mpunga kuweka store na kuuza wakati thamani ikiwa juu.
NAHITAJI KUFAHAMU
Mtaji wa gunia 100?
Gharama za uhifadhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.