Msaada kwa walio apply..vip kuhusu hili swala la umri..?
Hiv system inaweza kukukataa ukiwa above 30..?maana nimeona kwenye jobportal wameweka alisterik kwenye birthdate
Msaada kujibiwa wadaw...
1.Risks zake kubwa na muhimu kizijua ni zipi..?
2. Ni vitu gani vya kizingatia ili kuepoka loss.
3. Je kuna ubabaishaji wowote wakati wa kununua, kusafirisha na kuuza pale kiwandani..?
4. Mtaji wa milioni moja 1M ni mzuri kianzia..?
Hapo ni jambo la kuupa mmea stress juu ya mazingira na hivyo kujiona unaelekea kupoteza maisha bila ya kuacha kizazi chake.. ikiwa hivyo unajibadili kuwa katika hali ya kike na kuanza kuanza kuzaa matunda yenye mbegu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.