Recent content by Mr bee94

  1. M

    Natafuta mke wakuoa

    WASIFU 1.Umri miaka 27 2.Elimu Diploma 3.Dini mkristo 4.Rangi mweusi 5.Kimo wastani Sifa za ninae mwitaji awe mke 1.Umri 20-26 2..Elimu kuanzia form 4 na kuendelea 3.Dini awe mkristo 4.Awe na hofu ya mungu 5.Asiwe mlevi
  2. M

    “Kaka nakuomba basi unioe “

    Bro usidharau wanawake kumbuka ndo umezaliwa nao
  3. M

    Uhusiano wangu na mwanamke wangu kipenzi umeingia doa, muda wowote nitakipoteza nilichokipenda kwa moyo wote

    Kwanza pole Sanaa,nakushauri uachane na huyo msichana Kama saivi ameanza vimbwanga je ukiweka ndani si ndo itakuwa balaa
  4. M

    Hivi wairaq wapoje kitabia?

    Wairaq marage ya mbea mjomba
  5. M

    Biashara ya kuuza kuku wa kienyeji

    Nashukuru Kwa ushauri nzuriii
  6. M

    Biashara ya kuuza kuku wa kienyeji

    Asantee Kwa ushauri mkuu
  7. M

    Biashara ya kuuza kuku wa kienyeji

    Habarini za muda huu wana Jf Kwanza nipende kumshukuru Mungu Kwa kuweza kuiona siku ya leo bila kupoteza muda niende Moja Kwa Moja kwenye mada. Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 nimemaliza chuo mwaka huu mwezi wa 8 natamani kufanya biashara ya kuku wa kienyeji kutoka Singida kupeleka Dar...
Back
Top Bottom