WASIFU
1.Umri miaka 27
2.Elimu Diploma
3.Dini mkristo
4.Rangi mweusi
5.Kimo wastani
Sifa za ninae mwitaji awe mke
1.Umri 20-26
2..Elimu kuanzia form 4 na kuendelea
3.Dini awe mkristo
4.Awe na hofu ya mungu
5.Asiwe mlevi
Habarini za muda huu wana Jf
Kwanza nipende kumshukuru Mungu Kwa kuweza kuiona siku ya leo bila kupoteza muda niende Moja Kwa Moja kwenye mada.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 nimemaliza chuo mwaka huu mwezi wa 8 natamani kufanya biashara ya kuku wa kienyeji kutoka Singida kupeleka Dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.