Njooni mjibu hoja tena baada ya uchaguzi, niliwakadiria wabunge saba bahati nzuri kwenu hata wawili hamkupata mmeishia mmoja tena yule ambae hata hakutegemewa! [emoji23][emoji23][emoji23]
Mmejimaliza wenyewe. Ushauri wangu kwasasa jaribu kujenga hata kijiofisi cha makao makuu hata cha milion...
Hivi wewe unaelewa unachoongea kweli? Ni matengenezo gani anayoyafanya ndani ya kanisa? Ona mauaji, ona uonevu, ona vitisho, ona utekaji, ona kiburi ...haya nijibu matengenezo gani anayoyafanya ndani ya kanisa?
Maaskofu ni watu kama mimi na wewe kweli na hata Magufuri ni mtu kama mimi nawewe lkn tofauti kati yetu inakuja pale tunapotazama nafasi zetu ktk maisha...maaskofu ni watumishi wa Mungu na wewe ni mtu ambaye unatumikia tumbo lako na Magufuli ni Rais wa Tanzania ....Unapo nena dhihaka juu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.