Recent content by mpwisa

  1. M

    Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

    andika basi wewe nikuelewe, niliyokupa ndiyo fact
  2. M

    Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

    yaani wewe ndo mweupe kabisa
  3. M

    Mtumishi unayepokea mshahara 1.5m kwa mwezi unapanga na unamiliki usafiri wa gari, hawezi kutoboa maisha utastaafu unatumikishwa tu

    Kwani tunaishi au tunajiandaa kuishi? Vitu vingine tunadanganyana tu, ukifuata hizo kanuni utachakaa mapema sana eti ili utoboe. Kuna raha gani sasa?
  4. M

    Russia mbioni kufanya shambulio kubwa katika historia

    Hii vita Russia itamtoa kamasi, haiishi. Hadi atadhoofika, japo yeye ndiye anapiga
  5. M

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    kama uliizima na kuilock na mfumo wa alarm, ui unlock kwanza
  6. M

    Walimu msipokuwa makini mwaka huu, mtakwisha!

    nani anayeandaa hiyo content unayodownload au kusoma mtandaoni? mostly ni haohao unaosema huwahitaji Sema una ujumbe flan unajaribu uufikishe isipokuwa umekosa approach nzuri, ila kuwakosea heshima waalimu wote utakua umekosea, kwa maoni yangu
  7. M

    Walimu msipokuwa makini mwaka huu, mtakwisha!

    We mwenyewe unaonesha ni kiaza +, hueleweki umeandika nini, umetupotezea muda tu kusoma andiko kuubwa ndani hamna kitu. Inaonesha una chuki kubwa na walimu, bila hoja za msingi. Walioua, waliobaka, wezi na wakosaji wengine wote waalimu? Panua fikra zako kidogo
  8. M

    Maji kupungua kwenye rejeta, engine 1 NZ

    wakati mwingine ni dalili za pump kufa. Pampu huanza kubujisha maji taratibu, hatimaye inakufa kabisa
  9. M

    Kukanyaga mafuta wakati gari ipo kwenye Parking Mode kunaweza kupelekea Battery la gari kuishiwa nguvu?

    I boost kwanza, washa gari tembea umbali km 10 atleast then angalia baada ya muda kama itapoteza chaji Usikimbilie kwenye alternata au betri mpya kwanza
  10. M

    Kwa bajeti ya 10M - 12M naweza kupata gari gani used kutoka Japan?

    Zina shida gani? Naziona zipo vizuri, haswa kama ni private. Unless uitumie kibiashara
  11. M

    Uwezo wa gari kukimbia angalia RPM sio KMH

    Mhhh RPM vs Speed, vina uhusiano lakini sio kama unavyoeleza Spidi ni ile ile regardless ya RPM Isipokuwa RPM inahusianisha spidi na vitu vingine, mfano acceleration, fuel consumption, horse power.... Mfano gari X inaweza kufika speed 100 kwa rpm 2, wakati gari Y unahitaji RPM 2.5 kufika spidi...
  12. M

    Nahitaji ushauri juu ya Toyota Corona

    Gari ya kizamani sana, itasumbua spea. Injini yake imepotea sokoni
  13. M

    Nina Milioni 7, natafuta gari ya kupigia Misele

    Kwa uzoefu wangu Jitahidi kutafuta gari yenye body nzuri (nzima) achana na mambo ta injini. Inunje kwa walau 4 au 5 million Then nunua injini mpya ( japo used Japan), funga. Utanishukuru baadaue
  14. M

    Umeshakutana na shida gani kwenye gari lako upewe suluhisho?

    Ilinitokea Gari kila nikikunja kona hadi mwisho (kulia) inajizima. Naiwasha inawaka naendelea na safari. Baadaye ikaacha, lakini hadi leo sijui tatizo
Back
Top Bottom