nani anayeandaa hiyo content unayodownload au kusoma mtandaoni? mostly ni haohao unaosema huwahitaji
Sema una ujumbe flan unajaribu uufikishe isipokuwa umekosa approach nzuri, ila kuwakosea heshima waalimu wote utakua umekosea, kwa maoni yangu
We mwenyewe unaonesha ni kiaza +, hueleweki umeandika nini, umetupotezea muda tu kusoma andiko kuubwa ndani hamna kitu.
Inaonesha una chuki kubwa na walimu, bila hoja za msingi. Walioua, waliobaka, wezi na wakosaji wengine wote waalimu? Panua fikra zako kidogo
I boost kwanza, washa gari tembea umbali km 10 atleast then angalia baada ya muda kama itapoteza chaji
Usikimbilie kwenye alternata au betri mpya kwanza
Mhhh
RPM vs Speed, vina uhusiano lakini sio kama unavyoeleza
Spidi ni ile ile regardless ya RPM
Isipokuwa RPM inahusianisha spidi na vitu vingine, mfano acceleration, fuel consumption, horse power....
Mfano gari X inaweza kufika speed 100 kwa rpm 2, wakati gari Y unahitaji RPM 2.5 kufika spidi...
Kwa uzoefu wangu
Jitahidi kutafuta gari yenye body nzuri (nzima) achana na mambo ta injini. Inunje kwa walau 4 au 5 million
Then nunua injini mpya ( japo used Japan), funga. Utanishukuru baadaue
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.