Labda umeongeza sifuri alimaanisha $8, 000 [emoji56] hyo pesa ndefu ili uweze kurudisha na kupata faida sio mchezo kwanza unatakiwa tayar uwe unafahamika pia uwe una matangazo sana hasa kwenye mainstream media out of that brother ur going to die
Kufukuzwa na kuachishwa tofauti iko wap??lazima waajili wakupe termination later au barua ya kuisha kwa mkataba wako zote nssf wanapokea na unalipwa ondoa hofu ishu sasa kupata mpunga wote kama wewe graduate hapo ndio shida
Sasa ya mwajir ulitaka iwe mali ya mwajiri hii sheria imebadilika hapa mwaka jana tu kama ulikuwa ufahamu haya mafao yaligawanyika kuna watu wanafanya kaz na mikataba inaisha au anaachiashwa kazi sheria ya mwanzo ilikuwa inamruhusu huyu mnufaika kuchukua pesa yake yote cjui umeelewa hapo...
Hizo fikra ndio tunatakiwa tuziondoe kuona serikali wamefanya kitu sawa pesa yangu nimekatwa kwenye mshahara wangu alafu unipangie mashart ya namna hyo na aya mabadiliko yamekuja mwakajana ambapo sisi tulikuwa tumeanza kuchangia tayar, tupo na viongoz ambao wanajiangalia wao tu upande wa wabunge...
How comes ushikirie ela yangu mwenyewe pesa hata mil 10 haijafika ukasema inisaidie uzeeni serious badala ya kuniachia niwekeze kwenye biashara ili investment zangu zikue sasa kama nahitaji niwekeze kwenye real estate itakuwaje unahold pesa zangu na mim ni kijana chin ya miaka 30 malengo ni yap...
Yaan ipo chin ya mill 5 nisichukue yote nimwachie nan sasa nataka nipate mtaji wa biashara benk cnavigezo hii ndio naitegemea nako figisu ndio hizo kibao
NSSF watajuaje kama kazi niliyokuwa nafanya labda nilisubmit chet cha chuo labda nikisema cjaenda chuo na pale niliingia kwa chet cha form six tu kwa connection hapo vip pesa itatoka na nikiwa na evidence kutoka kwa HR nisaidieni nduguyangu hii kwangu iko serious sana nina biashara sina mtaji na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.