Recent content by Mpunange

  1. M

    Nataka kufanya DNA test ya watoto wa kaka kupitia mimi je inawezekana?

    Inaelekea unataka kudhulumu hao watoto mali ya baba yao hakuna kingine hapo. Baba yao aliwatambua wewe ni nani uwakatae. Mungu anakuona
  2. M

    PreGE2025 Je, ni sahihi kuruhusu wajinga wengi kuchagua viongozi au wachache wenye akili kufanya hivyo?

    Labda utueleze kigezo sahihi cha 'wajinga' tuweze kutoa maoni
  3. M

    Maoni: Thobias Mwilapwa apewe Ukatibu Mkuu wa CCM

    Naunga mkono hoja. Mwilapwa yuko vizuri kwenye mambo ya chama
  4. M

    Watoto wakutwa wakisafiri chini ya basi kutoka Bukoba - Mwanza

    Naunga mkono! kama aliyeokoa watu aliingizwa jeshini hawa pia waingizwe wanaweza kufanya yasiyofikirika wakipata training jeshini
  5. M

    Wanasiasa kuweni wakweli katika hili la mfumuko wa bei

    sioni unachoking'ang'ania hapo! wakati mwingine ni busara kutojibu
  6. M

    Hakuna ubaya wowote wala ajabu yoyote Marais kupanda pamoja! Tulipanda basi moja na Rais Mkapa nchini Sweden

    Hujaelewa kabisa! Hapa historia haihitajiki! Tunaangalia tukio ambalo limetokea. Na shida siyo Rais Samia au viongozi wa Africa kupanda basi. Kinachojadiliwa ni ngozi nyeusi na nyeupe! Ngozi nyeupe wamepandishwa gari maalumu na wengine kuingia na misafara! Niambia kiongozi gani wa Africa...
  7. M

    Baraka Shamte: Naomba msamaha kwa Rais Mwinyi, Naomba msamaha kwa CCM, Naomba nirejeshewe uanachama naahidi Sitarudia tena!

    Mbona unaonyesha kuwa nawe ni yaleyale uliyosema? Unakosaje kuwa na heshima kwa mzee wa miaka zaidi ya 80? Ama kweli nyani hucheka kundule!
  8. M

    Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

    Sasa compile simulizi zako zote Sasa compile simulizi zako zote peleka kwa publisher utatoa kitabu kizuri sana cha riwaya. Unacho kipaji kifanyie kazi.
  9. M

    Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

    Yaunganishe haya machapisho yako utatoa kitabu kizuri sana utakachoweza kukiuza na kuagana na umaskini. Uko vizuri kwenye kutunga hadithi kwa kweli. Hongera sana.
  10. M

    Ushauri kwa mkuu wa mkoa wa zamani wa Dar es Salaam Paul Makonda

    Sawa! Lakini hajawahi kutokea tangu uhuru mtu aliyepiga vita madawa ya kulevya kama Makonda. Kafanya mengi mazuri mnamshupalia kwa makosa machache kwa nini?
  11. M

    Kura ya kuiondoa Urusi kwenye Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa: Tanzania yajitoa (abstain)

    Tanzania imejitahidi ila bado. Kwa maoni yangu ingesema No tu! Misaada isingekatwa maana wanahitaji raslimali zetu.
  12. M

    Watumishi tunapoelekea Mei Mosi tumwambie nini Rais Samia?

    Rahisi! "Ahadi ni deni" keisha!
  13. M

    Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

    Siyo poa wewe mchumia tumbo!. Kama hujui kitu ni vizuri kunyamaza
Back
Top Bottom