Recent content by Mpondoshilla

  1. M

    Nataka single movie ya kunitoa machozi

    Yaani nikiwa naitazama ifike hatua mpaka nitoe machozi ni movie gani inaweza nitoa machozi.
  2. M

    Kiasi gani kikubwa cha pesa umewahi poteza, au kuokota?

    Fungua huu uzi usome komenti unaweza kumpata aliyeokota pesa yako humu humu Mimi kiasi kikubwa nimewahi okota ni 15,000 na kupoteza ni 10,000
  3. M

    Ni wakati gani ulimpenda Mungu kwa kukiweka kifo?

    Mimi nilimpenda baada ya mtesi wa watu kufa
  4. M

    Njaa ni nini?

    Pole mkuu mimi ilinikuta kigoma sina mwenyeji nikakomaa siku nzima nakunywa maji we tumbo likaanza kuuma nilikutana na muhogo umetupwa mbichi, mbona niliushangiliaa
  5. M

    Utakubali Mungu afute kifo lakini maisha yako na cheo kibaki hivyo hivyo

    Ikitokea Mungu anakuuliza afute kifo au kiendelee tu kuwepo utamshauri nini Mimi namwambia kiendelee tu ili tuheshimiane
  6. M

    Njaa ni nini?

    Kwa wale msioijua njaa ikoje Njaa ni kitendo cha kukaa muda mrefu bila kula huku ukiwa hujui utakula nini na ni wakati gani Hiyo ndo inaitwa njaa, Achana na hizi njaa ndogo ndogo
  7. M

    Anza na neno "ISINGEKUWA"

    ISINGEKUWA yule trafick usiku ule pale daraja la sarenda wale majamaa wangeniua
  8. M

    Ni movie gani unaitafuta bila mafanikio

    Mimi naitafuta movie moja ya kinaigeria inaitwa sioma the monster, kwenye cd ilikuwa ipo pamoja na movie inaitwa ibu the school, mwenye kujua sehemu ya kuipata anitumie hata link ni singo movie sio season, na inapoanza kunakuwaga na wachungaji wawili wanahubiri mtaani, halafu kuna wadada...
  9. M

    Ni wema gani uliwahi kuutenda ukaishia kujuta mpaka leo

    Nakumbuka nikiwa zangu Msasani beach tumelala kwenye bot bovu alikuja jamaa anakimbia usiku tukamuuliza vipi, akasema kuna maaskari wametimba maskani kukamata wahalifu, basi ilikuwa kama saa tano usiku tukampa hifadhi, ilipo fika kesho asubuhi tukakuta hayupo na kaondoka na viatu vyetu.
  10. M

    Nini kilikutokea baada ya kujifanya mjuaji kwenye kitu usichokijua

    Mimi bhana nakumbuka nikiwa kama house boy, boss wangu alikuwa ananiamini sana hivo alikuwa na gari kama tano hivi. Alikuwa na tabia ya kuniachia funguo za gari ambayo ni chafu ili niioshe. Sasa bhana siku hiyo akaniachia funguo ya gari Toyota Land Cruiser, alipotoka tu nikaenda kufungua gari...
  11. M

    Nini kilikutokea baada ya kujifanya mjuaji kwenye kitu usichokijua

    Mimi bhana nakumbuka nikiwa kama house boy boss wangu alikuwa ananiamini sana hivo alikuwa na gari kama tano hivi Alikuwa na tabia ya kuniachia funguo za gari ambayo ni chafu ili niioshe Sasa bhana siku hiyo akaniachia funguo ya gari land cruise, alipo toka tu nikaenda kufungua gari na kutia...
  12. M

    Nini kilikutokea baada ya kujifanya mjuaji kwenye kitu usichokijua

    Mimi bhana nakumbuka nikiwa kama house boy boss wangu alikuwa ananiamini sana hivo alikuwa na gari kama tano hivi Alikuwa na tabia ya kuniachia funguo za gari ambayo ni chafu ili niioshe Sasa bhana siku hiyo akaniachia funguo ya gari land cruise, alipo toka tu nikaenda kufungua gari na kutia...
  13. M

    Nini kilitokea baada ya kumtongoza mke au demu wa rafiki yako akakukatalia?

    Hii kitu sitaisahau baada yakumtongoza demu wa rafiki yangu halafu akachomoa Dah! Nilihisi kuvurugwa baada ya kuangalia urafiki wangu na jamaa ulivyo niliishi maisha ya hofu kwa wiki nzima hofu ikaanza kuisha mdogo mdogo baada ya demu kujiongeza na kukaa kimya
  14. M

    Kitu gani unakijua kwa mtu wako wa karibu huku yeye akiamini hujui?

    Nakumbuka huyu mzee mke wake alisafiri baada ya kupata msiba Mbeya sasa, hii nyumba yake ina vyumba vinne vya ndani na vina wapangaji, sasa kuna mpangaji mmoja wa kike anaishi singo, basi bhana mimi ninapolala napakana na chumba chake na mkewe, na havina ceiling board, basi nikasikia mlango simu...
  15. M

    Kituko gani alikufanyia mtoto wa mwenyeji wako ulipokuwa ugenini huwezi kukisahau hadi leo hii?

    Mimi nakumbuka siku moja nikiwa ugenini, huyu mtoto wa mwenyeji wangu aliing'ang'ania radio yangu na mwenyeji wangu akaniambia tumsubirie asinzie watamnyang'anya nakumbuka walinipatia radio yangu saa nne usiku toka saa 12 jioni Niliwamindi familia yote ila basi tu hawakujua Weka na wewe cha...
Back
Top Bottom