VUTA-NKUVUTE
Kwa haya yanayotokea sasa nimeanza kumuelewa Fatuma Karume, kwenye kipindi cha Madamotto channel 10 aliulizwa kwanini msiende mahakamani kutaka tafsiri ya kufutwa kwa matoeo ya Zanzibar alisema kwenda mahakama ni Imani hivyo hatuna imani sana na wale watakao amua kesi hii kwani...
hata mimi nimeshanga sana inakuwaje Jaji Lubuva anaomba ruhusa kwa Rais kuongea na wageni Wakati kile kikao ni Chake na yeye ndiye aliyemwalika Rais. hii inaonyesha namna tume ya uchaguzi isivyo huru maana kila jambo zito anaomba mwongozo kwa Rais
Mimi si mwanachama wa chama chochote na mara zote nimekuwa nikichagua mtu bila kujali anatoka ccm au upinzania ili mradi anajitambua kama kiongozi. katika lugha ambazo sizipendi na ninazichulia ni kusema "CCM HAITATOKA MADARAKANI KAMWE" na hii lugha imejaa kiburi na kujikweza kusiko na maana na...
mpendwa kwani wewe unaelewaje mpango wa mungu? Mimi kwa maoni yangu ni vyema kuendelea kuomba mungu atupekiongozi kutoka katika moyo wake kuliko kuwa washabiki, mungu kama mungu anasema njia zake si kama njia zetu wala mawazo yake si kama yetu kama mbingu zilivyo juu sana ndivyo mawazo na njia...
watanzaniw mbona tumekuwa wanafiki sana huyo fisadi ni nani mbona atajwi kila mtu anasema kunafisadi anagawa pesa anagawa pesa ni nani? Kama wanaosema hivi ni wazalendo na wanaipenda nchii hii wamtaje watanzania wamjui na wajiepushe naye. tuache usanii sasa kama waziri mkuu mstafu Msuya naye...
Ndugu yangu nimekupata na kukuelewa vyema unalolisema inawezekana kweli au si kweli. Tatizo nililoliona kwa mama Tibaijuka anasema sana yeye akifikiri ndio kujitetea lakini ndio anazusha sana mjadala kwake. mfano Prof Mhongo, Warema na wengine usikii wakisemasema. na siku zote maneno ya kiwa...
Viti maalum si wote mizigo Kuna dada kupitia mkoa wa Morogoro aise yule ni makini sana na mwakani anagombea jimbo la Kilombero kwa Celina Kombani. Pia anacheo kwenye chama na alikuwa meneja campain wa chadema 2010
Ndugu yangu kama ulimsikia Mh Zito jana wakati anawasilisha mchango wake unaweza kabisa kujua nini kipo ndani ya ripoti nanukuu "Kwa mambo yaliyotokea usingetegemea kutokea katika nchi yenye utawala wenye udhibiti na ambao unafanya maamuzi kwa kila jambo kwa wakati haya mambo yaliyotokea...
kuna msemo unasema penye wengi kuna mengi, baada ya upitishaji wa rasimu hii, kuna mengi sana yatatokea mengine ya ukweli na mengine ya uongo tusubiri tu, kwa wale wanaofikiri kuna uchakachuaji utabainika tu na kama hakuna uchakachuaji itajulikana tu. Na watakao toa yote haya ni wahusika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.