Nimegundua kwanini lawyer hawajui hesabu
Mtu anaiba 12bilion alafu analipa faini ya 5milion
Wanalipa faini baada ya hapo wanakata ticket wanaenda Florida kula bata
Ili nasi tuweze kupata faida ni bora kueleza ni Yapi ya ukweli na Yapi ya uongo na utueleze kwa hatua baada ya hatua ukweli halisi sio kusema eti aliyo andika Tumaini Makene ni ujinga haikubaliki, ninakuomba utueleze ambayo sio ujinga tafadhali
Haya majibu ni mazuri sana kwani mimi na baadhi ya watu hatukuwa tunajua migogoro iliyo wahi kutokea huko nyuma tangu CHADEMA ianzishwe Asante sana kamanda kwa elimu yako kushare nasi
Kamanda Safari-ni-Safari post yako #18 habari zake ni nzito sana, maana nimesoma mpaka ninatetemeka, nimebaki najiuliza hivi ni kweli haya mambo ZZK aliyafanya na anaendelea kuyafanya haya
Ni kweli ni mawazo yake Kardinali Pengo lakini yana uzito mkubwa kwa waumini wa kanisa katoliki kwahiyo kitendo cha kupinga serikali tatu kitawaeffect waumini wa kanisa katoliki by MUTUAL INDUCTION
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.