Wana jamii nimepima na hayo ndiyo majibu, je hiki kipimo hakiongopi? Na kinaonyesha kuwa umeathirika baada ya muda gani tangu uambukizwe? Maana mi nimepima baada ya kukaa cku 100 bila kufanya tendo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.