Recent content by mpokonyoka

  1. M

    Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

    Wana jamii nimepima na hayo ndiyo majibu, je hiki kipimo hakiongopi? Na kinaonyesha kuwa umeathirika baada ya muda gani tangu uambukizwe? Maana mi nimepima baada ya kukaa cku 100 bila kufanya tendo
  2. M

    Kosa kubwa analifanya Rais nikudharau hata wale wamemfikisha alipo je atadumu?

    Yaani ukitaka kufa njaa mguse alie rohoni kwake si mwingine (Makonda) na hata gwajima asome alama mapema
  3. M

    Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

    Kwa jinsi bashite anavyo zungumzwa! Ningekuwa mimi ningebandika vyeti mpaka kwenye nguzo za umeme
  4. M

    Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

    Analundo la mavyeti huyo gwajima
  5. M

    Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

    Gwajima ni level zingine wew, unamfananisha na bashite? Utapasuka kifua
  6. M

    Barcelona atashinda kwa kishindo dhidi ya PSG UEFA 2nd leg round 16

    Mtoa post unaota wew! PSG anaua tena, yaani barca anakufa tena nyumbani
Back
Top Bottom