Binafsi ili andiko nimeliona leo lakini ngoja nitafakari juu ya One state solution.
1. Kuna Wapalestina takribani milion 6 ambao ni wakimbuzi nje ya Palestina! Hawa walinyang'anywa makazi yao na Waisrael huko Westbank nk! Vipi kwakuwa ni walimbizi mkiunda Taifa moja mtaruhusu warudi? Ukumbuke...
ICC hawawezi kutegemea ropoti ya chande kutafuta majibu yao, wale Commonwealth watarudi tena lakini ICC wanaweza kufika wenyewe na kuanza uchunguzi kama kuna jinai, lakini ukiisikia report ya Chande na ule ushahidi uliowasilishwa jinsi unavyokinzana, naamini ICC watafika maana report imeongeza...
$20 Billion ni fedha halali ambazo zilizuiliwa kwenye mabank ya Qatar na South Korea, hilo Iran hawawezi lukubali yaani uzuie hela yangu ambayo tulifanya biashara alafu uniambie ili uiachie basi nikuoe kitu kingine? Hapo labda tupigane uchukue kwa nguvu.
Hiyo No. 1 mi naona imekuwa kisingizio ambacho hakieleweki! Kuwa na Uranium iliyorutubishwa kwa 60% haina maana kuwa Iran inamiliki Nyuklia, ukiangalia wengi wachambuzi wanavyochambua ni kama tayari sasa Iran ina siraha za Nyuklia.
Mazungumzo waliyoyafanya Geneva US alikuwa anataka hicho kiwako...
Sio middle East yote mkuu! Maeneo ya Misri, Palestina, Syria na Uturuki zilikuwq dola za kikristo na sababu ni Byzantine ilikuwa Dola tawala maeneo hayo, lakini Iran wao walikuwa na dini yao Zoroastrianism ukipata muda jifunze kuisoma hiyo dini iliyokuwepo kabla ya Yesu kuja utapata madini humo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.