Recent content by Mpinzire

  1. Mpinzire

    Jenerali Jeshi la Iran na Naibu Waziri wa ulinzi aliyetoweka 2006 anaishi Marekani chini ya usimamizi wa CIA

    Kumbe Edwin Snowden naye alijitambua akaamua kuachana na ujinga wa US?
  2. Mpinzire

    Zanzibar ndiyo waliotoa Mtaji kuanzisha BOT. Sasa wanataka fungu lao

    Security ndo inafanya Tanganyika ionekane inalazimisha muungano.
  3. Mpinzire

    Kama umeme ni mwingi upungue bei tupikie majiko ya umeme

    Nakumbuka siku inasainiwa mkataba wa ujenzi wa Julius Nyerere Hydroelectric Power, JPM alisema dhima yake ni kushusha bei ya umeme, alitoa list ya kila chanzo cha umeme na bei yake kwa Unit 1, huku akiahidi litakapokamilika atashusha bei ya umeme ili wananchi wengi waunganishiwe na pia iwe...
  4. Mpinzire

    Budapest Memorandum: Ulaghai wa kihistoria Warusi waliowafanyia Marekani, Uingereza na Ukraine

    Ni kweli kulikuwa na makubaliano kati ya NATO na RUSSIA kwamba Russia haitojitanua tena kwenda west na NATO isijitanue kwenda EAST?
  5. Mpinzire

    Mafanikio ya Mataifa ya China, Urusi na Iran ndio chanzo cha mivutano ya kisiasa baina ya nchi za Magharibi

    Kwanini Germany iseme itapinga "Juhudi za Marekani?" Kwanini tusione kama Marekani anatafuta member wapya wa NATO?
  6. Mpinzire

    Mafanikio ya Mataifa ya China, Urusi na Iran ndio chanzo cha mivutano ya kisiasa baina ya nchi za Magharibi

    Nilichoelewa ni kwamba iliyokuwa Serikali ya Bi Angel Merkel ilikuwa tayari kutumia kura ya VETO kupinga msukumo wa U.S wakutaka zilizokuwa Jamhuri za Usoviet kuwa member wa NATO.
  7. Mpinzire

    Mafanikio ya Mataifa ya China, Urusi na Iran ndio chanzo cha mivutano ya kisiasa baina ya nchi za Magharibi

    Lengo la Urusi wala sio kuichukua Ukraine iwe sehemu ya Taifa lake! Mchezo uliopo pale kuwahiana, Marekani anataka kuingiza Ukraine Nato ili aitumie kuifanyia ujasusi Urusi na Urusi analijua hilo na ndiyo maana walishakubaliana kwamba Ukraine abaki Neutral asifungamane na upande wowote.
  8. Mpinzire

    Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

    Mkuu hivi wale Wayahudi wa uongo waliosemwa kwenye Ufunuo 3:9 ndiyo wakina nani? Sio hawa mnaowasujudu sasahivi wakina Netanyahu?
  9. Mpinzire

    Tetesi: Mikopo ya 10% ya Halmashauri imegeuka kuwa mikopo ya Wanachama wa CCM

    Na ndiyo maana hizo pesa hazirejeshwi, kwanza ukifanya ukaguzi vizuri wafaidika wala sio vijana.
  10. Mpinzire

    Zanzibar: Watalii wanne kutoka Israeli watimuliwa Hotelini kwa kulalamika kuhusu gari kuandikwa "Free Palestine"

    Kwaiyo wajadiliane nini hapo zaidi ya ao Waisrael kukuambia toa ilo gari? Mbona mmejaza bendera za Israel kwenye magari yanu hakuna anaewapigia kelele?
  11. Mpinzire

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Wanachangamoto zao ndiyo ila changamoto hazifanyi Saudia aruhusu Marekani atumie anga lake kwa iran cos anajua Iran itajibu ndani ya ardhi ya Saudia na watakao umia ni wasaudia.
Back
Top Bottom