Recent content by Mpinzire

  1. Mpinzire

    Yemen's Houthi: Mkikiteka kisiwa cha Kharg, tunafunga mlango bahari wa Bab al-Mandab!.

    https://x.com/i/status/2035662874396504489
  2. Mpinzire

    Kesi ya Lissu | Shahidi wa siri (P5): Niliona video ya Lissu akisema atakinukisha, uchaguzi mkuu hautafanyika

    Mahakama haijaona haja ya kutambua jina la shahidi wa siri, wala kujua historia yake na uhusika wake wa hiyo kesi! Nasubiri kuona watamuapishaje! Pia nawaza ikiwa Mahakama itamuitaji huko mbeleni itampaje wito ikiwa hawajui jina lake wala historia yake anakotoka nk! Bado pia nawaza ikiwa...
  3. Mpinzire

    Je, shughuli yako ulitumia bei gani?

    Kikeni ndiko kwenye pilika nyingi, but kama inategemea nanyi wenyewe! Jana nilikuwa sehemu kuna rafiki yangu akawa ananisimulia kuwa alikuwa kwenye kikao cha ndoa, bajeti imepangwa 10 milion! Ajabu ata familia inayooa hakuna ata mtu mmoja anamiliki pikipiki! Anashangaa hiyo milion 10 itatoka...
  4. Mpinzire

    Mtu wa kwanza kunyongwa pale ICC natamani awe Mkuu wa Majeshi, bila huyu maelfu wasingeuawa

    ICC hawana hukumu ya kunyongwa wala ya kifo, wao kifungo kikubwa ni cha maisha.
  5. Mpinzire

    KERO Kwa sasa ukiunganishiwa umeme Meter mpya zinakuja na deni la kodi ya ardhi la tangu mwezi Julai 2025

    SIdhani! sisi tumebadilishiwa ila ninachojua walitupa unit 10, ambapo utakapokuja kununua umeme watakata Tsh 3625 kama sikosei! labda pia uwe hujalipia kodi ya jengo mwezi uliopita lakini sisi tulikuwa tushalipia kwaiyo walihamisha toka meter ya zamani kuleta meter mpya hivo sikulipa kodi ya...
  6. Mpinzire

    Manowari kubwa na hatari ya kisasa ya kudungua Makombora ya Marekani yatia nanga Israel

    Nilikuwa najiuliza hii submarine inafanyakazi ya air defense au?
  7. Mpinzire

    Je Trump ana mpango wa kama aliomfanyia Maduro kwa Ali Khamenei wa Iran

    Wewe tangia umfahamu Ayatollah umewahi kumuona mara ngapi hadharani? Ayatollah sio Rais wa nchi yule! Yule sikuzote anaokana ijumaa mojamoja tu sio siku nyingine
  8. Mpinzire

    Hapa nimeshindwa kumwelewa Putin. Inawezekana kuna Uhuni anatufanyia yeye na Marekani

    Hapo kuna wafanyakazi (raia wa kawaida) tu na sio kambi ya Jeshi! Ingekuwa kambi ya Jeshi wasingeondoka ao.
  9. Mpinzire

    Iran - Nchi inayohofiwa zaidi ulimwenguni na Marekani kuliko Taifa lolote lile duniani

    Kuna vitu vingine tumia akili yako ya kuzaliwa! Kwanza hakuna mfumo wa ulinzi wa anga unafanyakazi 100%, uliposikia ndege za kivita ziliruka Israel zikiendeshwa na wanawake kwenda kushambulia Iran haina maana ziliingia katika anga ya Iran, zile zilipitia Jordan then zikingia Iraq, zikiwa Iraq...
  10. Mpinzire

    Leo ni Siku ya Kimataifa ya Kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbari ya Wayahudi

    Moja ya propaganda kubwa Duniani ni hii ya wayahudi milion 6 waliuawa! Na hii imetumika kama siraha dhidi ya wale wanaopinga au kukataa propaganda za Wazayuni walijivika joho la Iyahudi.
Back
Top Bottom