Recent content by Mpinzire

  1. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Israel na Marekani uko sawa na ule wa Ujerumani na Austria 1914

    Binafsi ili andiko nimeliona leo lakini ngoja nitafakari juu ya One state solution. 1. Kuna Wapalestina takribani milion 6 ambao ni wakimbuzi nje ya Palestina! Hawa walinyang'anywa makazi yao na Waisrael huko Westbank nk! Vipi kwakuwa ni walimbizi mkiunda Taifa moja mtaruhusu warudi? Ukumbuke...
  2. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Baada ya ripoti ya Tume kutolewa nini kinafuata?

    ICC hawawezi kutegemea ropoti ya chande kutafuta majibu yao, wale Commonwealth watarudi tena lakini ICC wanaweza kufika wenyewe na kuanza uchunguzi kama kuna jinai, lakini ukiisikia report ya Chande na ule ushahidi uliowasilishwa jinsi unavyokinzana, naamini ICC watafika maana report imeongeza...
  3. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Kitendo Cha Trump kupiga block kwenye mlango wa Hormuz, ni kite iliyosukumwa vizuri

    Huyo US analinda sheria gani hapo middle East?
  4. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania TRUMP:Marekani itachukua ‘vumbi’ lote la nyuklia

    $20 Billion ni fedha halali ambazo zilizuiliwa kwenye mabank ya Qatar na South Korea, hilo Iran hawawezi lukubali yaani uzuie hela yangu ambayo tulifanya biashara alafu uniambie ili uiachie basi nikuoe kitu kingine? Hapo labda tupigane uchukue kwa nguvu.
  5. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Nafuatilia hali ya Iran, sidhani kama Iranian regime inaweza ika-survive kwa saa 48 zijazo kutoka sasa. Polisi wamegoma kupokea orders

    Mfumo wao wa dini unakukerq nini wewe wa ukerewe? Umewahi kuathurika vipi ni dini ya mtu mwingine?
  6. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Je malengo 5 aliyoyaweka Trump kwenye vita yamefanikiwa?

    Hiyo No. 1 mi naona imekuwa kisingizio ambacho hakieleweki! Kuwa na Uranium iliyorutubishwa kwa 60% haina maana kuwa Iran inamiliki Nyuklia, ukiangalia wengi wachambuzi wanavyochambua ni kama tayari sasa Iran ina siraha za Nyuklia. Mazungumzo waliyoyafanya Geneva US alikuwa anataka hicho kiwako...
  7. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Wakristo mnaoishangilia Israeli inapoipiga Iran, mnakosea sana

    Ni andiko gani linasema adui yako ni Iran?
  8. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Wakristo mnaoishangilia Israeli inapoipiga Iran, mnakosea sana

    Sio middle East yote mkuu! Maeneo ya Misri, Palestina, Syria na Uturuki zilikuwq dola za kikristo na sababu ni Byzantine ilikuwa Dola tawala maeneo hayo, lakini Iran wao walikuwa na dini yao Zoroastrianism ukipata muda jifunze kuisoma hiyo dini iliyokuwepo kabla ya Yesu kuja utapata madini humo...
  9. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Wakristo mnaoishangilia Israeli inapoipiga Iran, mnakosea sana

    Huu uadui wa Wakristo na Iran unatokana na nini?
  10. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Kuna Mgawanyiko wa Madaraka Iran baada ya kufanyika mazungumzo kati ya Marekani na wawakilishi wa siri wa Iran

    Story za Trump tu hizo hamna mazungumzo yoyote yamefanyika.
  11. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Yemen's Houthi: Mkikiteka kisiwa cha Kharg, tunafunga mlango bahari wa Bab al-Mandab!.

    https://x.com/i/status/2035662874396504489
Back
Top Bottom