Nakumbuka siku inasainiwa mkataba wa ujenzi wa Julius Nyerere Hydroelectric Power, JPM alisema dhima yake ni kushusha bei ya umeme, alitoa list ya kila chanzo cha umeme na bei yake kwa Unit 1, huku akiahidi litakapokamilika atashusha bei ya umeme ili wananchi wengi waunganishiwe na pia iwe...
Nilichoelewa ni kwamba iliyokuwa Serikali ya Bi Angel Merkel ilikuwa tayari kutumia kura ya VETO kupinga msukumo wa U.S wakutaka zilizokuwa Jamhuri za Usoviet kuwa member wa NATO.
Lengo la Urusi wala sio kuichukua Ukraine iwe sehemu ya Taifa lake! Mchezo uliopo pale kuwahiana, Marekani anataka kuingiza Ukraine Nato ili aitumie kuifanyia ujasusi Urusi na Urusi analijua hilo na ndiyo maana walishakubaliana kwamba Ukraine abaki Neutral asifungamane na upande wowote.
Kwaiyo wajadiliane nini hapo zaidi ya ao Waisrael kukuambia toa ilo gari? Mbona mmejaza bendera za Israel kwenye magari yanu hakuna anaewapigia kelele?
Wanachangamoto zao ndiyo ila changamoto hazifanyi Saudia aruhusu Marekani atumie anga lake kwa iran cos anajua Iran itajibu ndani ya ardhi ya Saudia na watakao umia ni wasaudia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.