Recent content by Mpinzire

  1. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Siku 30 za Jumuiya ya Madola kutaka Lissu aachiwe zimekwisha, kinachofuata ni utekelezaji

    Kuna wakati nawaza hasa nikiona picha za Patrice Lumumba akikimbizwa na kupigwa na askari wa kikoloni! Najiuliza hivi hawa wasasa tukiwa na uhuru na wale wa kikoloni wana tofauti gani?
  2. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Kuna changamoto Gani umekutana nazo kama ushawahi kufanya kazi kiwandani?

    Azam sikuwahi kuingia ila nasikiaga wanasema pia, Pepsi nimepiga kazi ambayo unaweza kuvua tshirt kuweka kando maana jasho lake si la mchezo
  3. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Kuna changamoto Gani umekutana nazo kama ushawahi kufanya kazi kiwandani?

    Miaka ya 2017-2019 Pepsi pale Nyerere Road kitengo Bondeni, vijana mchele mchele walikuwa wakija sikumoja tu siku ya 2 hawarudi! Kazi unapiga masaa 4 nguo zote zimeloa jasho sio mchezo! Mshahara elfu 7 kipindi hicho kwa siku na bado siku ya kupokea kuna wahuni wakiila na bado kuingia mzigoni...
  4. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Mbappe sasa ndiye mfungaji bora wa muda wote Ufaransa

    Hii kanuni inahusu kwa wachezaji wa timu pinzani wakizungumza sio wenyewe kwa wenyewe.
  5. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Israel na Marekani uko sawa na ule wa Ujerumani na Austria 1914

    Binafsi ili andiko nimeliona leo lakini ngoja nitafakari juu ya One state solution. 1. Kuna Wapalestina takribani milion 6 ambao ni wakimbuzi nje ya Palestina! Hawa walinyang'anywa makazi yao na Waisrael huko Westbank nk! Vipi kwakuwa ni walimbizi mkiunda Taifa moja mtaruhusu warudi? Ukumbuke...
  6. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Baada ya ripoti ya Tume kutolewa nini kinafuata?

    ICC hawawezi kutegemea ropoti ya chande kutafuta majibu yao, wale Commonwealth watarudi tena lakini ICC wanaweza kufika wenyewe na kuanza uchunguzi kama kuna jinai, lakini ukiisikia report ya Chande na ule ushahidi uliowasilishwa jinsi unavyokinzana, naamini ICC watafika maana report imeongeza...
  7. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Kitendo Cha Trump kupiga block kwenye mlango wa Hormuz, ni kite iliyosukumwa vizuri

    Huyo US analinda sheria gani hapo middle East?
  8. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania TRUMP:Marekani itachukua ‘vumbi’ lote la nyuklia

    $20 Billion ni fedha halali ambazo zilizuiliwa kwenye mabank ya Qatar na South Korea, hilo Iran hawawezi lukubali yaani uzuie hela yangu ambayo tulifanya biashara alafu uniambie ili uiachie basi nikuoe kitu kingine? Hapo labda tupigane uchukue kwa nguvu.
  9. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Nafuatilia hali ya Iran, sidhani kama Iranian regime inaweza ika-survive kwa saa 48 zijazo kutoka sasa. Polisi wamegoma kupokea orders

    Mfumo wao wa dini unakukerq nini wewe wa ukerewe? Umewahi kuathurika vipi ni dini ya mtu mwingine?
  10. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Je malengo 5 aliyoyaweka Trump kwenye vita yamefanikiwa?

    Hiyo No. 1 mi naona imekuwa kisingizio ambacho hakieleweki! Kuwa na Uranium iliyorutubishwa kwa 60% haina maana kuwa Iran inamiliki Nyuklia, ukiangalia wengi wachambuzi wanavyochambua ni kama tayari sasa Iran ina siraha za Nyuklia. Mazungumzo waliyoyafanya Geneva US alikuwa anataka hicho kiwako...
  11. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Wakristo mnaoishangilia Israeli inapoipiga Iran, mnakosea sana

    Ni andiko gani linasema adui yako ni Iran?
  12. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Wakristo mnaoishangilia Israeli inapoipiga Iran, mnakosea sana

    Sio middle East yote mkuu! Maeneo ya Misri, Palestina, Syria na Uturuki zilikuwq dola za kikristo na sababu ni Byzantine ilikuwa Dola tawala maeneo hayo, lakini Iran wao walikuwa na dini yao Zoroastrianism ukipata muda jifunze kuisoma hiyo dini iliyokuwepo kabla ya Yesu kuja utapata madini humo...
  13. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Wakristo mnaoishangilia Israeli inapoipiga Iran, mnakosea sana

    Huu uadui wa Wakristo na Iran unatokana na nini?
Back
Top Bottom