Upo sahihi sana!
Mwakajana kuna kijana namfahamu alikutwa na hii kashfa, yeye alipelekwa mpaka Mahakamani ila Mazingira ya ushahidi wa kuthibitisha ilikuwa mtihani, huko sijui Zahanati walikopelekwa kujaza PF3 Dkt alikuwa kisanga, kwanza dkt hakuwa na Leseni, hakujaza Registration No. Yake na...
CCM itajibu hoja gani kwasasa? Ukidai Katiba Mpya usipopewa kesi ya Ugaidi basi watakuambia unaitishia Serikali wewe ni muhaini! Wao ata ukiwatama wabadilishe sheria basi umeitisha Serikali.
Huu mtego ndiyo utawaumiza Majaji kichwa, kitendo cha kukataa kuwaita mashahidi wa Lissu tena mashahidi muhimu kama DGIS, IGP, CDF! basi itakuwa wamefanya maaajabu ya ulimwengu, Naamini kwasasa wanajadiliana hawa mashahidi 7 wanafanyaje maana wasipoitwa basi kesi haina maana tena.
Na tukumbuke...
Ndiyo muache kubambikia watu kesi, Hakuna kifungu chochote chs Katiba wala sheria kinachosema Rais hawezi kuitwa Mahakamani kutoa ushahidi, kupelekewa wito inawezekana na utaratibu umewekwa kwenye The Presidential Affairs Act sura ya 9 inatoa muongozo junsi ya kumfikishia Rais wito wa Mahakama...
Hapo hamna cha mwenzao sema Polisi ni kama kuku aliekatwa kichwa! Wao kila kitu wanakurupuka tu! Lile katazo la kufanyua press eneo la Mahakama wao wanaita amri ya Mahakama! Yamkini huko wameenda kuuliza hiyo amri ya Mahakama aliyokikuka ni hipi? Wenyeww wanajibu lile tangazo na ndipo...
Huku kukutwa na ushahidi kwamba Mahakama ilijilidhisha kwamba shamba liloibiwa lina aina hiyo mihogo au? Ilipatikna mihogo mingapo ya uo wizi kati ya hiyo mingi aliyokuwanayo?
Kuna wakati nawaza hasa nikiona picha za Patrice Lumumba akikimbizwa na kupigwa na askari wa kikoloni! Najiuliza hivi hawa wasasa tukiwa na uhuru na wale wa kikoloni wana tofauti gani?
Miaka ya 2017-2019 Pepsi pale Nyerere Road kitengo Bondeni, vijana mchele mchele walikuwa wakija sikumoja tu siku ya 2 hawarudi! Kazi unapiga masaa 4 nguo zote zimeloa jasho sio mchezo! Mshahara elfu 7 kipindi hicho kwa siku na bado siku ya kupokea kuna wahuni wakiila na bado kuingia mzigoni...
Binafsi ili andiko nimeliona leo lakini ngoja nitafakari juu ya One state solution.
1. Kuna Wapalestina takribani milion 6 ambao ni wakimbuzi nje ya Palestina! Hawa walinyang'anywa makazi yao na Waisrael huko Westbank nk! Vipi kwakuwa ni walimbizi mkiunda Taifa moja mtaruhusu warudi? Ukumbuke...
ICC hawawezi kutegemea ropoti ya chande kutafuta majibu yao, wale Commonwealth watarudi tena lakini ICC wanaweza kufika wenyewe na kuanza uchunguzi kama kuna jinai, lakini ukiisikia report ya Chande na ule ushahidi uliowasilishwa jinsi unavyokinzana, naamini ICC watafika maana report imeongeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.