Ukinuna ww cheka shughul inakua imeisha hamna mada hapo wanaume n wazaifu sana sema the way unavyomtreat ndo shughul mijanamke mingine n hopeless so izo ambozo unaona kanuna n busara za mwanaume uishi ukitambua nn mwenza wako anaitaji thus ol
ishi ukitambua kuna watu vichaa wapo around u usiumize kichwa kulaumu jinsia mungu ana malengo ya kukuumba wewe mwanamke au mwanaume shida ipo pande zote 2 ila msimamo unatoka kwa mwanamke ukiamua kuchezewa utachezewa cha msingi kuish kwenye malengo na mikakat utakayojiwekea thus ol
unaanza kuomba kadi za uanachama za utanipwelepweta bure wakat wasichana wenye akil zao wamezagaa mjin kwel umelogeka kijana mdogo una mawazo ya kizee huko n kufilisika maarifa pole xna kajiloweke wenda una pacha ushafel kwendraaaaa una sela kama babu zako wenye vibendera vya kijan pita vileeee
inawezekana ukawa jogoo apand mtungi pia tuna uhakika gan mtu wenyew ujawai kupractiz so unaweza ukatumia nguvu nyingi ktk kufikiria kutongoza uaze vip kumbe jamaa mambo ayawez ukiona upaja tuh chali habar ya mujin ujaijua bado sahau kuhusu zinaa subir ndoa nafikir unaitaj muda zaid wa kuviacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.