Recent content by Mpigamimba

  1. Mpigamimba

    Faiza Ally amjia juu mzazi mwenzie Sugu na anajuta kuzaa nae

    Nimekuwa na mwanamke mmoja mke wa jamaa. Yaani alinianza mwenyewe sikuwa na time naye, baadae huruma na utu ukanishika, Kwa kuwa tunatoka Kwa siri na tunakwenda mitoko mbali, anadai moment kama hizo hazipati Kwa Mr ake. Sasa nikajiuliza kwann hamuambii! Na mnalala pamoja, anadai anapigwa...
  2. Mpigamimba

    Kuona Maiti ikizikwa na Manispaa kumenitafakarisha sana maisha yetu hapa duniani

    Hapo tatizo ni ufahamu. Maamuzi ya kibinadam sio sahihi. Walipaswa kumzika vema Mungu ataamua
  3. Mpigamimba

    Ukioa Mke Mwelewa na ukawa na mchepuko fundi umetoboa maisha

    Walokole wanaishi maisha magumu Sana. Sijui Wana Nini Hawa viumbe
  4. Mpigamimba

    Faiza Ally amjia juu mzazi mwenzie Sugu na anajuta kuzaa nae

    Faiza Nina hakika wanaume wanamkimbia na kumkwepa. Ninani ale papuchi bahati mby azae naye. Aje atukanwe hadharani
  5. Mpigamimba

    Faiza Ally amjia juu mzazi mwenzie Sugu na anajuta kuzaa nae

    Hivi Faiza kama sio takataka ni kitu gani. Yule Dem ni takataka za chini zilizooza. Yule hata uchi wake unakoma. Ni katili anamuathiri mtoto. Anamdhalilisha mtoto. Sugu ni sugu miaka na miaka. Yaani hata nyimbo, hotuba zake ni sugu utamsikiliza na ninyi mnamsikiliza na Faiza anamsikiliza...
  6. Mpigamimba

    Hatima ya shule zilizofutiwa matokeo ni ipi?

    Mustakabali wa shule zilizofutiwa ni upi Msaada kwa mwenye taarifa za BARAZA LA mitihani Tanzania (NECTA)
  7. Mpigamimba

    Nahitaji kubadilisha fani ya uwalimu

    Ujue unanafasi nzuri kuhama Kwa kuwa Upo kwenye mfumo. Kwa mfano. Ukitaka kuhamia anywhere lazima uwe na sifa. IT- uwe na bachelor of computer science au bachelor of ict. Afisa mipango-mchumi..uwe na bachelor of economics
  8. Mpigamimba

    Nahitaji kubadilisha fani ya uwalimu

    Uhamiajo ni Mambo ya Ndani Home Affairs
  9. Mpigamimba

    Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

    Kwanini usingeweka yote. Tumuone wa mwisho. Wewe unapenda nusunusu...weka tumuone jokate, tumuone ridhiwani
  10. Mpigamimba

    Baa za Tabata na maeneo yake ya kula bata

    TBT hutumika sana na vijana. Ndio tabata??
  11. Mpigamimba

    Baa za Tabata na maeneo yake ya kula bata

    Sinza totoz usiku ni balaa
  12. Mpigamimba

    Maeneo kumi(10) ya kubana matumizi kudhibiti ukuaji wa deni la Taifa

    CHa kushangaza wazazi wame jiondoa kwenye huduma. Jamani watoto siku hizi Hawa wanaowaita kutoka kaya maskin hawanunuliwi hata viatu na wazazi wao. Walimu wanawachangia Hawa Watoto imagine. Nchi Ina watu Wana laana Sana. Huyu mzaz kutwa anatafuta Ili akalewe pombe. Je mwananch huyu anajenga...
  13. Mpigamimba

    Maeneo kumi(10) ya kubana matumizi kudhibiti ukuaji wa deni la Taifa

    Kuwapa posho walimu wakuu, Wakuu was shule, maafisa Elimu kata, maafisa Elimu wawili (msingi na sekondari) na kumuacha mwalimu ni laana. Posho iondolewe, afisa Elimu mmoja anatosha kusimamia Elimu. Wakuu wa idara halmashauri wanalamba posho za kila mwezi nchi hii itahitaji MTU zaid ya marehem...
Back
Top Bottom