Sioni tatizo kwa sababu it's just the same skin, cha muhimu ujiandae kusikia maumivu from the affected areas.
That's my view..huenda wengine wakatofautiana nami..
Siku moja baada kuchomwa kanisa, viongozi wa UAMSHO walitoa tamko rasmi na katika tamko hilo walikanisha kabisa kuhusika na uchomaji makanisa.
Hili hapa ni tamko lilotolewa:
JUMUIYA YA UAMSHO NA MIHADHARA YA KIISLAMU
(JUMIKI) للجنة...
Japan PM warns Israel against attacking Iran
Israel's Deputy Prime Minister and Defense Minister Ehud Barak (L) meets with Japanese Prime Minister Yoshihiko Noda at the latter's official residence in Tokyo on February 15, 2012.
Thu Feb 16, 2012 8:54AM GMT
Japanese Prime Minister Yoshiko...
Iran yazindua miradi muhimu ya nyuklia
Fito za kwanza zilizotengenezwa Iran za uzalishaji fueli ya nyuklia zimeanza kutumika katika Tanuri Nyuklia ya Utafiti ya Tehran. Kufuatia hatua hiyo, tanuri nyuklia hiyo itakuwa na uwezo wa kuzalisha fueli ya nyuklia kwa kiwango cha asilimia 20
Rais...
Russia says anti-Iran sanctions have had zero effect
[*=center]Print
[*=center]E-mail
[*=center]Be the first to comment!
Russias Deputy Foreign Minister Sergei Ryabkov describes sanctions imposed against Iran as having zero effect, hours after Iran announced its latest nuclear...
Mafuta yapanda baada ya Iran kutangaza nia yake ya kusitisha uuzaji mafuta kwa nchi 6 za Ulaya
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema itasitisha uuzaji mafuta ghafi ya petroli kwa nchi sita za Umoja wa Ulaya. Nchi hizo ni pamoja na Uholanzi, Uhispania, Italia, Ufaransa, Ugikiri na Ureno.
Mapema...
Manoari za Iran zatia nanga katika bandari ya Jeddah, Saudi Arabia
Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Msafara wa 18 wa Meli za Kivita za Iran zimetia nanga katika bandari ya Jeddah nchini Saudi Arabia kwa lengo la kuonyesha uwezo wa Iran katika maji ya Kimataifa...
Seven reasons not to bomb Iran
Iran's Mig-29 fighter jets
An American defense analyst has outlined several reasons why the US administration should not become involved in military confrontation with Iran.
Adam Lowther, a member of the faculty at the US Air Force's Air University, called on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.