Mponda agoma kujiuzulu

Wewe acha uongo bwana.Dr .Mponda alikuwa mfanyakazi wa IHI-Ifakara Health Institute na siyo fundi mchudo cv yake hapo chini

Salutation
Honourable
Member picture
1646.jpg

First Name:
Dr. Hadji
Middle Name:
Hussein
Last Name:
Mponda
Member Type:
Constituency Member
Constituent:
Ulanga Magharibi
Political Party:
CCM
Office Location:
P.O. Box 9083, Dar Es Salaam
Office Phone:
+255 783 003 635
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location
Course/Degree/Award
Start Date
End Date
Level
Manda Chini Primary School
Primary Education
1967
1970
PRIMARY
Nawenge Primary School
Primary Education
1971
1973
PRIMARY
Minaki Secondary School
O-Level Education
1974
1977
SECONDARY
Tosamaganga Secondary School
A - Level Education
1978
1980
HIGH SCHOOL
Mzumbe University
Business Management
1984
1987
ADV DIPLOMA
London Univeristy
Public Health
2003
2004
MASTERS DEGREE
Mzumbe University
Material Management
-
GRADUATE
London Univeristy
Public Health
2007
2010
PHD
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type
Certification No.
Issued
Expires
No items on list
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name
Position
From Date
To Date
The Parliament of Tanzania
Member - Ulanga West Constituency
2010
2015
Ministry of Health and Social Welfare
Minister
2010
Todate
Ifakata Health Institute
Research Scientist
1996
2010
National Development Corporation
Commercial Manager
1989
1996
National Development Corporation
Commercial Officer
1983
1989
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location
Position
From
To
Chama Cha Mapinduzi, CCM
Youth Commander
2009
Chama Cha Mapinduzi, CCM
Member of Political Committee
2005
PUBLICATIONS
Description
Published Date
Social Science and Medicine
2003
BMC Public Health
2009
SPECIAL SKILLS
Skill Name or Description
Years Experience
Acquired Through
Skill Level
No items on list
RECOGNITIONS
Recognition Type
Recognition Date
Reason
Action Taken
Issued by
No items on list


Nimejaribu ku-Google lakini hiyo London University sijaiona!!! Kuna University of London.

Halfu hiyo ya Research Scientist miaka yote hiyo bila hata ka-publication kamoja imekaa kaaje?? Kwenye Google Scholar haonekani!!

University UK huwa zinapublish graduates kwenye website na kupublish thesis au desertation zao. Mbona jina lake hatulioni wala thesis yake hatuipati kwenye mtandao?? Au ndiyo yale yale ya wabunge wetu??
 
Kueneza uongo ndiko kunanifanya niwe na wasiwasi wa wahangiaji juu ya chuki binafsi,
Ni upi ufisadi wa Mponda katika wizara, Anatuhumiwa na nini? Acheni chuki jamaa ni proffessional na ana exposure nzuri sana kwenye Public heath. Kufanya kazi kwake kwenye taasisi ya kimataifa ya Afya kama ifaka kwa miaka zaidi ya 14 ni exposure ya kuaminika.

Acheni chuki na taarifa zenu za uongo
Mponda ana nini cha ziada hadi watu wamchukie yeye ?
Alivyokuwa analidanganya Bunge na taarifa yake ya kupikwa maana yake ni nini ?
Kushindwa kuhimili wizara hadi mambo kufikia mabaya hivi hiyo ni sababu tosha kwa yeye kujiuzuru tayari ,
Umetumwa wewe ?
 
Osokoni....mbona inasemekana Mponda aliwasilisha barua ya kuomba kujiuzulu kwa raisi ila rais akakataa?alichomwambia wewe ujui siasa acha uoga..... source Gazeti la rai la jana.

Hapo kwenye red, Dr. Masaburi alishasema kuwa wabunge wa CHAMA CHETU MATATIZO wote wanafikiri kwa kutumia makalio, sasa MKULU hamuoni mwenye makalio yenye nafuu kumzidi Mpondomoka
 
Hivi Dr.Mponda alishindana na nani kwenye jimbo lake la uchaguzi?au hakuwa na mpinzani?Huyu Dr bora angebaki kufanya kazi kwenye taaluma yake tu
alishindana na prof. mlambiti wa SUA, ni mzee ambaye anakubalika sana, ila alichakachuliwa na mwenyekiti wa chadema wa wilaya alikimbia na mabox ya kura ya kata ambazo mlambiti zilikua zinampa ushindi. m/kiti alipokea fungu kutoka kwa mponda na kumuuza mzee wa watu ambaye hadi leo bado wanamkubali.
 
Nyie jamaa, Wazushi kweli! Hizi habari za Dr. Mponda kukataa kujiuzulu zimetokea wapi wakati news nyingine zinasema amekataliwa na Mzee Bulicheka na Msanii Mkuu wa Bongo kujiuzulu akiambiwa yeye Dr. Mponda ni mgeni kwenye siasa. Nawataka ama wanaodai amekataa kujiuzulu au amekataliwa kujiuzulu walete uthibitisho wa maandishi. We need proof!

imwan
 
kulingana na hiyo cv yake hakuwa na hadhi ya kuwa waziri kwenye hiyo wizara. ndiyo maana anashindwa kazi
 
osokoni....mbona inasemekana mponda aliwasilisha barua ya kuomba kujiuzulu kwa raisi ila rais akakataa?alichomwambia wewe ujui siasa acha uoga..... Source gazeti la rai la jana.

soma mwananchi ya leo 10/2/2012
 
tanzania yetu watu hawajazoea kujiuzulu bana, mambo mengi yameshatokea makubwa na watu wamekaa kimya tu nadhani umefika wakati watu wawe wanawajibishwa sasa angalau kunaweza kuwa na umakini, watu wachini wanapiga kazi kama punda lakini hao wa juu uko ni kujinyoosha kwenye viti virefu na kula bata, imeanza na madaktari sasa kuna lingine linakuja soon
 
Nimejaribu ku-Google lakini hiyo London University sijaiona!!! Kuna University of London.

Halfu hiyo ya Research Scientist miaka yote hiyo bila hata ka-publication kamoja imekaa kaaje?? Kwenye Google Scholar haonekani!!

University UK huwa zinapublish graduates kwenye website na kupublish thesis au desertation zao. Mbona jina lake hatulioni wala thesis yake hatuipati kwenye mtandao?? Au ndiyo yale yale ya wabunge wetu??
 
Tumeshawahi kuwa na Medical Doctors pale kama kina Chiduo na Sarungi, mambo hayakubadilika; Tumewahi kuwa na wanasiasa pale kama Zhakia Meghji na wengineo, mambo hayakubadilika; matumaini yangu yalibakia kwa mtu mwenye uwezo wa public health management ambae kwa bahati nzuri au mbaya akaja kuwa Mponda; Napo mambo hayajabadilika. Tatizo ni nini? Tatizo ni mfumo wa wizara. Kumwondoa Katibu Mkuu na Mganga Mkuu ni mwanzo mzuri lakini muhimu zaidi ni kuiparangua wizara yote na kuifuma upya kivitengo, ki-dira, na pia allocation ya bajeti; Chini ya mfumo wa sasa, wanaoamua mahitaji ya afya ni nini, fedha kiasi gani zinahitajika, na fedha zitume vipi ni watu wa juu, sio wa huko chini kwenye hospitali za mikoa na wilaya ambako ndiko kuna mahitaji mengi zaidi ya afya, bali maamuzi hufanya huko huko juu wizarani, na ni huko wizarani na kwenye taasisi kama za rufaa na speciality hospitals ndiko 75% ya bajeti yote huishia huko na only 25% ndio inapelekwa hospitali za mikoa na wilaya na dispensaries combined; Bila ya kubadili haya, kumtoa Mponda na Naibu wake haitasaidia lolote;

Si dhambi kujaribu watendaji mbalimbali hasa unapotaka kufanya utafiti wa matatizo sugu ya Wizara. Kuendelea na mtu asiye na fikra ya kuboresha mazingira ya eneo lake la kazi ni kukubali msiba kila kukicha. Kumbuka uozo wa wizara ya ujenzi na wizara ya ardhi. Kama ni kwa kauli za kukata tamaa, bila shaka leo tungeendelea kusota kwenye barabara mbovu na kesi za migogoro ya ardhi zisingepungua. Nafikiri, Dr Mponda anawajibika kwa hili, aachie ngazi ije damu mpya kama pale National Housing Corporation kwa Nehemia Mchechu.
 
Hakuna issue ya ugeni wizarani huyo Mponda hana uwezo wa kuongoza. Kwa mtu yeyote makini aliyefuatilia toka mwanzo mgogoro huu atakubaliana na madai ya madaktari kwamba aondolewe ktk wizara ya Afya kwa uongozi mbovu.
 
Nyie jamaa, Wazushi kweli! Hizi habari za Dr. Mponda kukataa kujiuzulu zimetokea wapi wakati news nyingine zinasema amekataliwa na Mzee Bulicheka na Msanii Mkuu wa Bongo kujiuzulu akiambiwa yeye Dr. Mponda ni mgeni kwenye siasa. Nawataka ama wanaodai amekataa kujiuzulu au amekataliwa kujiuzulu walete uthibitisho wa maandishi. We need proof!

imwan

Is Blandina a victim wa mchezo wa sisasa? Why Mponda yeye awe protected and Blandina to take the full blame? Is it because she is a woman or what?
Watu wa kutetea haki za kina mama inabidi wachunguze kwa undani hizi kashfa isje ikawa mama wawatu anafanywa scape goat while the real culprit stays free.
 
Hivi Dr.Mponda alishindana na nani kwenye jimbo lake la uchaguzi?au hakuwa na mpinzani?Huyu Dr bora angebaki kufanya kazi kwenye taaluma yake tu

Huyu hakuchaguliwa, aliteuliwa na Rais kuwa Mbunge na siku mbili baadaye akapewa Uwaziri huo. Na historically, Mawaziri karibia wengi walioteuliwa na Rais kuwa wabunge kwanza, hawafanyi vizuri mambo yao.
 
Tumeshawahi kuwa na Medical Doctors pale kama kina Chiduo na Sarungi, mambo hayakubadilika; Tumewahi kuwa na wanasiasa pale kama Zhakia Meghji na wengineo, mambo hayakubadilika; matumaini yangu yalibakia kwa mtu mwenye uwezo wa public health management ambae kwa bahati nzuri au mbaya akaja kuwa Mponda; Napo mambo hayajabadilika. Tatizo ni nini? Tatizo ni mfumo wa wizara. Kumwondoa Katibu Mkuu na Mganga Mkuu ni mwanzo mzuri lakini muhimu zaidi ni kuiparangua wizara yote na kuifuma upya kivitengo, ki-dira, na pia allocation ya bajeti; Chini ya mfumo wa sasa, wanaoamua mahitaji ya afya ni nini, fedha kiasi gani zinahitajika, na fedha zitume vipi ni watu wa juu, sio wa huko chini kwenye hospitali za mikoa na wilaya ambako ndiko kuna mahitaji mengi zaidi ya afya, bali maamuzi hufanya huko huko juu wizarani, na ni huko wizarani na kwenye taasisi kama za rufaa na speciality hospitals ndiko 75% ya bajeti yote huishia huko na only 25% ndio inapelekwa hospitali za mikoa na wilaya na dispensaries combined; Bila ya kubadili haya, kumtoa Mponda na Naibu wake haitasaidia lolote;
Kuna matatizo mengi sana wizara ya afya...hili la uongozi nalo ni moja wapo...mfano sasa huyu Mponda lazima aondolewe pale wizarani maana hamna daktari atakayetaka kufanya nae kazi..lazima aondolewe yaani...Pia kuna ukiritimba mkubwa kiuongozi ndani ya wizara ya afya..kuanzia wakurugenzi...kuna mizee pale imezoea kufanya kazi kimazoea..hawataki mabadiliko kabisa...hawa lazima nao waangaliwe ktk reshuffle ....wanatakiwa viongozi wenye nia ya dhati ya mabadiliko ktk sekta ya afya....Reshuffle pia inatakiwa iende koote kwenye agencies za wizara ya afya(nako kuna matatizo yake) na mikoani na wilayani koote ambako pia sehemu nyingine kuna waganga wakuu wa hovyo hovyo wengine walipewa madaraka kishkaji na hawana jipya zaidi ya kutafuna hela za miradi ya afya....pia kwenye baadhi ya mawilaya kuna baadhi ya waganga wakuu ambao ni ma AMO wasio na capacity na wanafanya kazi kimazoea tu.........hili huwa linajitokeza sana haswa pale madaktari(MD) wanapochaguliwa kwenda kufanya kazi kwenye hizi wilaya chini ya hawa ma AMO.....uhusiano wa kikazi kati ya kada zooote za afya ni hatua ya msingi inayotakiwa kuboreshwa saana kama kutafanyika reshuffle kwenye afya TZ...
 
Ni kweli Dkt. Mponda sio Medical Dkt. yeye ni fundi michundo ya kutengeneza majembe, matololi kule Mbeya kwa kile kilichokuwa kiwanda cha Zana zaKILIMO au ZZK kiwanda ambacho alichangia kwa kiasi kikubwa kufilisika kwake na kufa kabisa na huu udhaifu wake wa kushauri viongozi wake vibaya ameendelea na kumdanganya Pinda hadi kumpandisha hasira ya uwapa ultimutum madaktari. MPONDA TAFADHALI JIUZULU au ndio kusema kuwa huna uchungu na wananchi wako waliokupigia kura. Inabidi uwajibike Mzee usione aibu

watu mnalopoka humu
 
Dr Mponda hakusema sahihi kuwa anawapenda watanzania,hampendi mtanzania yeyote wala hana upendo na watanzania kama alivyojinasibu,tatizo Tz wasomi wetu wanakuwa wanafikinafiki hivi,maana haoni kuwa jambo hilo limeharibika mikononi mwake kama waziri,kwa vyovyote vile hawezi kukwepa lawama hizi,ni yeye,sema anatawaliwa na ubinafsi na ufisadi umejenga miziz moyoni mwake,ni aibu kung'anga'nia wizara iliyokushinda na hata kupelekea vifo vya watu hakafu hutaki kujihuzulu.
MPONDA ondoka uwaziri umekushindi kafanye kazi za jimbo tu na penyewe mwisho wako ni 2015
 
Mponda angejiuzulu mapema kwani madudu yaliyofanyika hapo wizarani alikuwa akiyaangalia tu, misaada ya kinga za Ukimwi, misaada ya maabara iliyotolewa na abbout co. ya kimarekani kuzijenga maabara Tanzania nzima alichakachua, kufagia Muhimbili alikuwa anajua ni Blandina Nyoni akanyamaza
acheni ajiuzulu upesi
 
Back
Top Bottom