Recent content by Mphamvu

  1. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mbowe aligaragazwa vibaya kiasi kile na Lipumba Uchaguzi wa 2005?

    Chadema ilikuwa ni mara yao ya kwanza kusimamisha mgombea, pia kama chama hawakuwa na relevance kivile... Hata Mrema na TLP walikuwa juu kuliko wao. Kwa chaguzi za Tanzania chama kingine kupata asilimia 5 ni hatua kubwa sana, na kulikuwa na juhudi kubwa nyuma yake, nadhani ndio ilikuwa mara ya...
  2. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania Mwanangu amepoteza uwezo wakusimama na kutembea

    Pole jamaa. Vipi CT Scan, ile ya asili... Haisemi lolote?
  3. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania Neema Akeyo alivyolipwa mshahara wake na NMB Plc baada ya kufukuzwa kazi kwa kutohudhuria kazini siku ya Jumamosi

    Alafu ukute Sabato yenyewe alikuwa anaenda kubanduana [emoji849]
  4. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

    "Leo mke wa Mbowe kazi anayo!" - Anonymous [emoji848]
  5. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania Wahenga tu: Katika awamu 5 za serikali ya JMT zilizopita ipi unaikubali zaidi kwa Utendaji uliotukuka?

    Ya mkoloni, maana tulikuwa tunafahamu fika tunapigwa. Hizi zingine zote za wakoloni weusi wanaojifanya tupo pamoja
  6. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania Lifahamu Vumbi la Congo: Historia, Matumizi, Faida na Hasara zake

    Mambo mengi ya nini? Kuleni todi muinjoi Caribbean love (tamka 'lov')
  7. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli aliona mbali kuhusu chanjo, ona sasa huko Ulaya wanavyoanza kupukutika

    Mabaharia wanachanja RastaZeneca
  8. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

    Mtaani kwetu wanaitwa wa Mchichani. Ni kazi tu kama kazi zingine, zina mazuri na mabaya sema ndo hivyo wabongo tunayo hulka ya kuabuse nafasi flani flani, mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake
  9. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania 'Graduate' kuchuuza Makande na Uji Mtaani kama njia ya kujikwamua kimaisha ni matumizi chanya ama hasi ya Elimu?

    Vidato vinawatia ushamba sana Wabongo, mashikolo mageni. Haya mambo ya kujiita Dr, Prof, CPA nani wa nani sijui mbelembele hayapo, mtu na Ph.D yako unakuwa homeless fresh tu.
  10. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania Masharti ya mazishi ya Wakili Munuo

    Mwanaume ndio huyu sasa
  11. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania Serikali imeshindwa kuwadhibiti waganga wa kienyeji na wapiga ramli chonganishi?

    Nadhani kutapeliwa kunatokana na unafiki wetu kuhusu tiba. Matapeli wanapitia humo humo...
  12. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania Kupewa pipi kwenye mabasi mnayoita 'luxury' ni utoto

    Watoe K Vant
  13. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania DODOMA : Siri nzito tulizonazo sisi wahudumu wa nyumba za kulala wageni

    Get a life little mama... Maisha ni fupi.
  14. Mphamvu

    JamiiForums Tanzania 'Graduate' kuchuuza Makande na Uji Mtaani kama njia ya kujikwamua kimaisha ni matumizi chanya ama hasi ya Elimu?

    Elimu ina matumizi mengi, huwezi kujua hata hapo kwenye uji na kande inamsaidia. Kwanza tu imempa kiki. You see?
Back
Top Bottom