Chadema ilikuwa ni mara yao ya kwanza kusimamisha mgombea, pia kama chama hawakuwa na relevance kivile... Hata Mrema na TLP walikuwa juu kuliko wao.
Kwa chaguzi za Tanzania chama kingine kupata asilimia 5 ni hatua kubwa sana, na kulikuwa na juhudi kubwa nyuma yake, nadhani ndio ilikuwa mara ya...
Mtaani kwetu wanaitwa wa Mchichani. Ni kazi tu kama kazi zingine, zina mazuri na mabaya sema ndo hivyo wabongo tunayo hulka ya kuabuse nafasi flani flani, mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake
Vidato vinawatia ushamba sana Wabongo, mashikolo mageni. Haya mambo ya kujiita Dr, Prof, CPA nani wa nani sijui mbelembele hayapo, mtu na Ph.D yako unakuwa homeless fresh tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.