Mungu akuadhibu hakika ukosoaji wako kwake wastahili adhabu kali sana kwa familia yako. Weka Nyuzi acha chuki binafsi we Celina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunze kufanya utafiti si kila kitu una buni buni, ukitaka kujua fanya utafiti kama mwenzio vitu vipo wazi. Toka usingizini
Sent using Jamii Forums mobile app
Jina lako na maandiko yako hayafanani [emoji16] huwezi kuwa fighter alafu unaandika shalo kinoma. Humu JF inafaa Elites uandike jambo lenye mashiko sio mambo ya chuki binafsi. Ingewezekana kama amewabana huko kuiba kuiba kwenu mkapumzike nyumbani au mtafute cha kufanya maana vitu vpo wazi sana...
Maskini vilaza wangu haoooo unaleta udini kwenye kazi....eti Ndalichako kavuruga wizara ya elimu na wewe umevuruga wizara yako ya majungu, chuki na uzandiki ...hovyo kabisa wewe jamaa
Kuna mtu ana ujasiri wa kuwagusa Wanawake MAHIRI kama Mhagama na Ndalichako ...? Hivi macho yako yanaona kama...
Mi nauliza hivi katika uelewa wangu kama mshikaji hapo juu alivyosema nani asiyejua umahiri wa Erio Katika Hifadhi ya Jamii mwenyewe huyu jamaa Nina mind kwa kuwa Kabana njia zote za kupata pesa kwa njia za chini ya kapeti kama tulivyokuwa tunaenda pale NSSF zamani lakini ndio katunyooosha...
Tunavyomfahamu utendaji wa Mhe.Rais anahitaji kuunda tume? kwani mnadhani hajui kilichokuwa kinaendelea ndani ya NSSF na nini kimefanyika? Acheni majungu . Wacheni watu wapige kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.