Recent content by Mpentecoste

  1. Mpentecoste

    Tofauti kati ya fedha na utajiri

    Rich dad poor dad na The millionaire next door ni vitabu vinavyodadavua kwa upana kuhusu mada hiyo, ukweli ni kwamba watu wengi wanafikiri kuwa katika mfumo unaowapa pesa nyingi kiasi cha kununua vitu vya thamani ni utajiri Wengi wetu tunapenda kununua vitu vinavyo onyesha characteristics of...
  2. Mpentecoste

    Biashara ina uhuru na inatajirisha lakini watoto wetu tunawaombea waje kuajiriwa wavae na tai, stress za biashara si mchezo

    Nimeona niseme kwamba this is the best comment ever, According to Robert Kiyosaki Kuna vyanzo vinne vya kipato 1 kuajiriwa 2 kujiajiri -eg fundi, mjasiriamali, kinyozi, daktari anayehudumia watu nyumbani kwao, mwalimu wa twishen, daktari mwenye dispensary, bodaboda, mwanamichezo, msanii...
  3. Mpentecoste

    Ulishawahi kuulizwa swali gani na mwanao ukakosa jibu?

    Baba kama wewe kwenu masasi na mama kwao dodoma mlikutania wapi? Wewe na mama mlipendana mkiwa wakubwa au mkiwa wadogo? Hii ni joke _baba nataka nimuoe bibi Baba akajibu haiwezekani kwasababunyule ni mama yangu,.Mbona wewe umemuoa mama yangu sijalalamika?
  4. Mpentecoste

    Mtume Paulo hakuingia katika mahusiano kwa maisha yake yote.

    Ni sawa , maandiko hayaelezi sana kuhusu maisha private ya manabii na mitume na ukumbuke vitu vingi vimepunguzwa ili kutimiza malengo, bibliq sio historia ya maisha ya watu fulani bali ni mtiririko wa matukio ya mpango wa Mungu kuhusu wokovu wetu sisi wanadamu, Kama Yesu alialikwa kwenye ndoa...
  5. Mpentecoste

    Nimeachana na mchumba niliyedumu naye kwa miaka 5 kisa hana Bikra

    Ni ujinga kumacha msichana anayefaa kuwa mama watoto kisa alilala na mwanaume mwingine kwq bahati mbaya. Halafu wewe kwa miaka.yote hiyo hujakutana na msichana? Pia hakuna uchumba wa miaka 5 uchumba ni miezi 6 tu huko kwingine ni kutafutana hila tu, Ukimpenda binti mchumbie fanya mipango ya ndoa...
  6. Mpentecoste

    Ikiwa Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zako lakini hakubaki amekufa, basi lengo lilikuwa nini?

    Fidiq, fine haya maneno hayamake sense kwako? Kama umefanya kosa ukakamatwa anatakiwa mtu ambaye hana makosa ili aje akulipie fidia utoke, wewe huwezi kujitoa mwenyewe, Lakini hapo zamani kulikuwa na utaratibu kila mwaka anachinjwa mnyama damunyake inatumika kufuta dhambi kwa mwaka, Yesu kafa...
  7. Mpentecoste

    Nimeishi na mwanamke miaka mitatu bila kupata mtoto, nifanyaje

    Ndugu unaharaka sana miaka 3 umehangaika namna hiyo? Wewe kama ni mkristo rud church ongea na kiongozi tubu kwanza dhambi ya kwenda kwawaganga then muachieni Mungu afanya anavyotaka mtoto ni zawadi huwezi kupush namna hiyo pia hata kama uchawi upo ukiwa mtu wa ibada hauwezi kuwadhuru hata kama...
  8. Mpentecoste

    Napingana na wanaosema Usiweke pesa yote kwenye biashara mpya

    Mtoa mada kwa biashara mpya hutakiwi kumaliza hela zote kwasababu stock ya kwanza utanunua kwamujibu wa mahewabu yako lakini stock zinazofuata utanunua kwamujubu wa oda, Kwa mfano unauza vocha za jumla ukawanya sawasawa lakini katika mauzo ukagundua vocha za yas na voda ndio zinatoka zaidi...
  9. Mpentecoste

    Kama unahitaji vipodozi jumla (mafuta,pafyumu,losheni, n.k)

    Tupia picha kututamanisha, wife anaduka anatamani aondeze vipodozi fulani kwaajili ya visista du na vibrothermen vya mtaani lakini tukifikiria mtaji kila siku tunasema ngoja kwanza
  10. Mpentecoste

    Kwenye nchi fulani ya mbali....

    Haijakaa kifasihi Tamadhali za semi hazijahusika Taswira zimekuwa dhahiri. Hakuna mafumbo
  11. Mpentecoste

    Mwanaume kama haujui kupika kwenye ndoa utateseka sana

    Wakati mwingine hata akikunyima tendo lalamika na jifanye kuwa umeumia sana ili ajie kama na hiyo ndio silaha yake afadhali upigwe na silaha ambayo haiumizi lakini wewe lia kwa maigizo kuliko kumcheka na kumwambia haiumii...atatafuta silaha nzitona kukuua
Back
Top Bottom