nasikia serikali imetoa maelekezo kwamba wanaostahili kupata mserereko ni wale walioajiriwa 2005 kurudi nyuma ila waraka hausemi hivyo,Kuna clinic ya Samia imepita kila mahali lakin naona Bado matokeo hayajaonekana,aisee hii ni hatari
ni dawa gan hizo dada yangu ana fibroids,pia watu wengi wasichokijua modern 💊 medicine are designed to treat sympotoms and not to cure any one,Dr Allan Greenberg,ndiyo maana mtu akiwa na presha au kisukari anatumia dawa maisha yake yote,mwisho wa siku anafeli Figo na kupoteza maisha
Nikushauri utumie dawa inaitwa ag broc,Kuna jamaa zangu wengi walikuwa na presha Sasa hivi wamepona kabisa,imefanyiwa utafiti na madaktari bingwa specialist,zinapatikana mwanza na Dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.