Kwa mujibu wa mkulu wetu, ufisadi na wizi haujawahi kuwepo awamu hii
Nyinyi acheni kisingizia bhana!
Mnaona Watu wamebeba mawe ya kuogea nanyi mwasema Ni madini?
Tanzania nimeishi kwenye tawala za maraisi watatu na Huyu Ni wa nne nikiwa na akili timamu mpaka Sasa, ila Rais kama Rais, Ni mmoja tu, Dr JPM hayati!
Wengine wapendeni nyinyi na miwafagilie nyinyi labda huwenda Ni ndugu zenu
Karibuni Iringa
Ukiwa na wabaya 1m halafu ukawa na wema 50elf, Basi jichunguze
Kwa hiyo wewe Unadhani yeye ananuksi siyo? Au unataka kulazimisha wote tupende upuuzi was kurudishwa kwenye majenereta siyo?
Au wewe ndo kamba? Jinga kabisa
Huwezi kuzima mjadara na makosa yaliyopo Leo kwa kusema wasiokuwepo ukidhani Watu watanyaza na kuogopa eti atasemwa Marehemu, Ni ushamba na ujinga kuendelea kusema wafu
Maelezo ya kwa Nini warudi shule na au wasirudi, bado hakuna mwenye logic!
Kurudi shule Ni kuhamasisha mapenzi shuleni
Kutorudi shule, Ni kuwanyima haki yao ya msingi,
Lipi Bora!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.