Ninacho fahamu ni mwendo wa kujilipa kupitia mabando wanayo tuibia,ndio maana wako makini kutuibia data pindi unapo jisahau kuongeza bando kabla ya kujiunga utakuta dk chache tu data inasoma sifuri.
KIPAOMBELE NAMBA MOJA,ELIMU.......NAMBA MBILI........ELIMU......NAMBA TATU.......ELIMU,TENA BURE KUANZIA SHULE YA MSINGI MPAKA SEKONDARI......(WACHA NIKAUSIKILIZE ULE WIMBO WANGU PENDWA,....nili ipenda mwenywe ...ndindiii changuo langu mwenyewe...
wewe,uliyeisoma imekusaidi nini?au umewasaidia nini?nakama unajua kwamba ni kichwa changu ndicho kilicho waza unawashwa na nini?hayaaaaa,upesi kasugue meno ukanywe chai ya shikamoo kwa shemeji yako aliye kuolea dada yako.
kwani walisha maliza kipindi cha miezi 6,ya uangalizi(probation period)?kama hii kesi wameifungu baada ya hicho kipindi kwisha,kuna kitu watafuna ila kama ni kabla ya hicho kipindi kuna kitu watapoteza.nimtazamo wangu tu.
Tuliwatuma WABUNGE,kwenda kutusemea na kutetea haki zetu,kwa maana katika wingi wetu hatuwezi sote kuingia bungeni kujitetea,sasa kama huo mswada wa hiyo sheria ya FAO LA KUJITOA,mtakubali kuipitisha,wakati nyinyi kila baada ya miaka mitano mnalipwa hela yenu yote(fao la kujitoa),hakika...
Habari,
Nawaandikia nyie nyote mliopata dhamana ya kuteuliwa kutuongoza katika teuzi kuanzia Ukuu wa Mikoa,Ukuu wa Wilaya hata nyie Wakurugenzi wa Majiji,Halimashauri za Miji n.k.
Nawaandikia Mwendemkasome Kitabu kiitwayo FUNGATE LA UHURU,tena niwakumbushe wakati nyinyi mkisoma hicho kitabu cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.