Recent content by MPANYU ELIAS

  1. M

    baada ya zuio la kukaa mita 200 UKAWA kuja na mbinu mpya sasa kulinda kura mita 0.

    Ukawa sio chama,mbona unatuchanganya? Unatoa ushauri wakati mwenyewe hujui maana ya ukawa
  2. M

    Je, hizi ni mali halali za CCM?

    Jibu ni raisi tu,ni mali ya ccm,hapa hatuzungumzii propaganda,wanamiliki kisheria,na siku zote sheria haikisubiri chama fulani kingie madarakani ndio sheri ifanye kazi yake hilo halipo,msiwe na mawazo ya kipropaganda hata kwenye mambo ya msingi,unapomzungumzia rasilimali,mfano majengo au...
  3. M

    Jiji la Dar es Salaam lasimama, foleni kila sehemu!

    Hata ndani ya serikali wafuasi wa lowasa bado wapo watendaji wabovu wanaofanya kazi kisiasa wameshajulikana subiri magufuli aapishwe lakini msipige kelele za haki za binadamu watakapoanza kushulikiwa manake wengine ni ndugu zenu
  4. M

    Rais Kikwete ateua Wakuu wa Wilaya 13 wapya, ahamisha wengine 7

    Kwamujibu wa katiba anayo mamlaka kufanya hivyo,jitahidini kusoma hata kidogo,sio lazima mpaka kipindi cha mtihani ndio msome ,vinginevyo mtaendelea kuwa katika utumwa wa fikra na kufanywa kasuku kulishwa ya kusema na wanasiasa uchwara,hapa kazi tu mahaba chadema
  5. M

    Jenerali Mwamunyange anastaafu utumishi wa umma leo

    Brother kwa habari za jeshi unavuka mpaka,chunguza kwanza sheria ya kijeshi inasemaje kuhusiana na taarifa za jeshi,sikushauri kufanya hivyo,kama una uwezo kisheria mtafute msemaji wa jeshi akupe taarifa kamili na sahihii,hapa kazi tu mahaba chadema
  6. M

    Jina la Magufuli latumika kutapeli wafanya biashara jijini Dar es salaam

    Kama ni mtanzania poa sana,kwani tenda ya kuprint za ukawa kapewa nani.?hilo mbona usemi,wacha mahaba ya kijinga,wewe ni kijana msomi tumia akili yako wacha kulishwa maneno kama kasuku,tumia ujana wako vizuri na elimu yako,umesomesomeshwa kwa gharama,acha mahaba ya kijinga
  7. M

    Jina la Magufuli latumika kutapeli wafanya biashara jijini Dar es salaam

    nawapongeaza sana bijana hawa kwa kufanya kampeni kisayansi,wapo vijana wasomi wamewaachia watu wengine kufikiri badala yao nawao kuwa makasusuku wa kulishwa maneno ya kusema,jambo hilo akifanya lowasa sawa ni marafiki wa lowasa friend of lowasa wakifanya kitu hichohicho kikifanywa na wengine ni...
  8. M

    Bundi aiandama NCCR- Mageuzi, Makamu M/kiti Leticia Musore, asimamishwa!

    Mwenye chama ameamua kumuua kisiasa,asasi za kidemokrasia haki,isheni haki ya leticia inapatikana,ushaiuri kwasababu hivi vyama ni saccos za viongozi wekeni ndugu zenu walinde mali zenu,demokrasia ipo ccm tu hata kama midomono mtakataa lakini moyoni mtakubali!
  9. M

    Bundi aiandama NCCR- Mageuzi, Makamu M/kiti Leticia Musore, asimamishwa!

    Hilo nifundisho kwa viongozi waliobaki waendelee kujifunza wapo kwenye saccos za watu,hilo nifundisho mwenyekiti kupingwa tu kimaoni.leo ameenda polisi nakujifanya njama za kutaka kumuua,kwa mtazamo huu demokrasia ndani ya vyama imekufa kwamtindo huu,nimbinu chafu nashangaa asasi zote...
  10. M

    Lowassa Kutikisa Dar es Salaam kesho Oktoba 01, 2015

    Jamaa anagombania umeya wa jiji la dar nini?tumeanza kumchoka au kuwa karibu na matinabu?
  11. M

    Lowassa Kutikisa Dar es Salaam kesho Oktoba 01, 2015

    Dili la richmond wanalijua chadema leo wapo kwenye uwanja walozindua mapambano ya ufisadi 2007'muulize lisu atakukumbusha.achana na mahaba kwa mwanaume mwenzako
  12. M

    Lowassa Kutikisa Dar es Salaam kesho Oktoba 01, 2015

    Fanyeni kazi acheni ndoto za alinacha,hao ukawa ni muungano wa saccos leo kafukuzwa mwingine nccr,na safari hii msitundanganye mmeibiwa kura,ni ujinga wenu umesababisha tusiwaamini leo mko kwenye uwanja fisadi mkuu alipotangazwa 2007
  13. M

    Lowassa Kutikisa Dar es Salaam kesho Oktoba 01, 2015

    Ufisadi wa lowasa waulize chadema na vyama vya upinzani wao ndio walomnadi mwaka 2007au ukumbuki hapohapo mwembe yanga,sasa wewe unaetuambia ni muadilifu unansfasi gani katika jamii,kwa ushahidi muulize tundu lisu na mnyika walikuwaepo 2007
  14. M

    Lowassa Kutikisa Dar es Salaam kesho Oktoba 01, 2015

    Bado atarudia dar mara 100 hajawajua waswahili walivyokuwa wasanii wanakuja kupoteza mawazo ataamini oct 25
  15. M

    Sumaye atakiwa kujibu tuhuma za meno ya Tembo

    Sumayi atusaidie kutupa ufafanuzi juu ya mishahara hewa wakati wa utawala wake
Back
Top Bottom