Recent content by MPANGAPANGA

  1. M

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Nyerere alitumia ujamaa kuondoa ukabila nchini aliona ubepari ungewanufaisha baadhi ya makabila na kutofautiana na Kambona aliyeona nchi ianze na ubepari Moja kwa moja. Nyerere baada ya kuona nchi Ina umoja ndipo aliporidhia Tz kuingia katika uchumi wa kibepari Changamoto ujamaa uliwekewa...
  2. M

    PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    nani asiyepata riziki ? shauri watu wasikate tamaa sio kuwatukania mama zao hilo ni kosa anatakiwa kukamatwa na kufunguliwa mashtaka
  3. M

    Mwanamtandao Rostam Aziz kufanya mahojiano maalum leo Septemba 2, 2025 kupitia UTV

    Mkuu nakukubalia pesa ya tajiri aliyoweka fixed account hunufaisha wakopaji waliokidhi vigezo. Lakini pesa za matajiri wetu haziaminiki mfano mzuri ni wakati wa awamu ya 5 Matajiri walipoona mambo Yao hayaendi wanavyotaka wengi wakahamisha pesa kutoka mabenki ya Tanzania na kuhamishia pesa...
  4. M

    Mwanamtandao Rostam Aziz kufanya mahojiano maalum leo Septemba 2, 2025 kupitia UTV

    Nani alikudanganya kuwa unaweza pata mkopo benki sababu Kuna matajiri wameweka deposit zao ? Mkopo mkopaji atapata kama anakidhi vigezo vya kukopesheka sio sababu eti benki kumejaa minoti ya vibopa ,kibopa akiweka Hela yake benki ni zake hazimhusu mtu yeyote ,benki husika tU ndio inanufaika na...
  5. M

    PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Anapotukana vijana hawana kazi eti wanakaa vijiweni anawalisha yeye ,kila mwaka wahitimu zaidi ya laki 3 wanaingia kitaa kusaka ajira ana huo uwezo wa kuwasaidia kupata ajira au kuwapa mitaji ya biashara kwa huo utajiri wake wa 20b tsh ? Bakhresa Kila ijumaa anagawa pesa kwa maskini misikitini...
  6. M

    Mwanamtandao Rostam Aziz kufanya mahojiano maalum leo Septemba 2, 2025 kupitia UTV

    Tupo kwenye uchumi wa kibepari ( soko huria) yeye na ma Tycoon wenzake mfumo wa soko huria unawabeba ,tunachohitaji walipe Kodi tu, kuwasamehe Kodi hawa tycoons na TRA kukomalia Kodi wachuuzi sio fair ,inasababisha mwenye nacho anapata zaidi na asiyekuwa nacho hata hicho kidogo alichonacho...
  7. M

    Zijue njia mbalimbali za kuzikwa wafu.

    nashukuru kwa mchanganuo nikiwahi fundishwa kanisani kwamba mtu akifa roho(90% kwa maelezo Yako) hurudi kwa muumba ,nafsi(9%) ndio Ina rekodi ya matendo ya mtu na mwili (1%) ndio huonja mauti hapo Bado Nina maswali mawili; 1.swali langu la msingi kitafufuliwa kipi kati ya hivyo vitatu...
  8. M

    Zijue njia mbalimbali za kuzikwa wafu.

    wakuu hebu nisaidieni wakristo huamini wafu watakuja kufufuliwa siku ya hukumu ,sasa vipi kwa hao wanaochomwa moto kuwa majivu watafufuliwaje kwa mfano?
  9. M

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    change za mia 200,100 na shs 50 zimeenda wapi ? mwanzoni vituo vyenu vilijaa coins kibao sasa hivi karibia vituo vyote havina change za coins ,mnashindwa hata na madalala ,konda wa daladala atahakikisha kwa namna yoyote lazima atafute na kutoa change lakini kwenu mwendokasi kwa wasafiri wasio...
  10. M

    Njoo uone huyu jamaa anavyomzodoa shetani hadharani

    Nina sadaka ya kujimaliza hapa 🤣 kapu lipo wapi 😅?
  11. M

    Hivi inawezekanaje mtu mmoja kama Rostam kuweza kuwapita akili na ku-outsmart viongozi

    https://www.jamiiforums.com/conversations/messages/4844841/
  12. M

    Nimeshindwa kujiamini katika maisha

    Nenda kachague kozi pale veta ukiwa bado kijana katika huo umri wako na ujawa na majukumu ya mke wa la watoto,shawishi wazazi wako wakulipie ada kozi ya chaguo lako pale veta kama msaada wao kwako wa mwisho kabla hujaanza kujitegemea maisha ya sasa yanahitaji kuwa na angalau ujuzi Fulani...
  13. M

    Tanzania tunakwama wapi? Milion 1 ya Kenya ni sawa milion 20 ya Tanzania, haya ni maajabu

    Mkuu basi usiwaite wenzio wana akili ndogo wanapolinganisha uchumi wa Tz na Kenya
  14. M

    Tanzania tunakwama wapi? Milion 1 ya Kenya ni sawa milion 20 ya Tanzania, haya ni maajabu

    kwa hiyo unawaona akina Prof. Mkumbo Kitila wanavyohangaika na vision 2050 uchumi wa 255 upande kuungana na nchi zilizoingia uchumi wa kati ni wehu??
Back
Top Bottom