Recent content by mpanda abraham

  1. M

    Niliogopa kuangalia mechi ya The Gunners

    Nimeipenda sana sub ya walcot kwani giroud walikuja kubadilisha mfumo na tukaanza kupiga mipira mirefu na Munich ikawashinda kucheza vizuri.
  2. M

    Taarifa za walioandikishwa RaisKikwete unatuchanganya!

    Bao La mkono hilo limeanza
  3. M

    Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Lindi asababisha ajali ya makusudi

    Hawa magamba wamelewa madaraka na ndio maana kila kitu kwao ni ubabe tu
  4. M

    Asante Magazeti ya Leo kwa kuitendea haki taaluma ya Habari hapa Tanzania

    Njaa mbaya sana kwani unaweza kuisaliti hata familia yako
  5. M

    Wasomi watanzania: Wakili Lissu mfano wa mchumia tumbo na aibu kwa Chama Cha Mawakili

    Ukawa ndio habari ya mjini, magamba imetosha nendeni na nyinyi mkakate msitu mlime mashamba
  6. M

    Ufafanuzi kuhusu Ulutheri na Urais - Lowassa

    Bora lowassa kuliko lipumba aliekwenda misikitini na kutangaza udini waziwazi
  7. M

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Mm nimeshatafakari na nikapata jibu kuwa huyu mzee ameingizwa kwenye kitengo cha propaganda
  8. M

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Hana jipya kwani tangu mwanzo tulishamjua sio mwenzetu na kamwe haturudi nyuma
  9. M

    Humphrey Polepole live Channel Ten: Urais katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Nyinyi mnapoteza muda wenu huyo dogo polepole ameshakula mshiko wake na ni lazima aendelee kupayukapayuka hovyo, kwanza lazima tujiulize yy anadai ni mtanzania maskini sasa hizo pesa za kuzunguka nchi mzima kumchafua lowassa amezipata wapi?, na kama hajanunuliwa huyo dogo, yeye amuulize...
  10. M

    Sakata la Richmond: Dr. Mwakyembe amkaanga Lowassa, Kumburuza Mahakamani...

    Kampeni za ukawa zinaanza leo na mafisadi wa richmond watajulikana tu muda sio mrefu
Back
Top Bottom