Pamoja na yote, nimejiuliza sana; jinsi tulivyo wasanii wabongo tumeshindwa kutafuta mbinu za kufanya malori yetu yakawa na uraia wa nchi zaidi ya moja? Hii biashara ya plate number za TZ isingekuwepo tunapofika mipakani. Hapana bwana, wataalamu wa kuchakachua, hebu ingieni kazini!! hamuwezi...
Jamani, kuna kitu hapa naona hakiko sawa. Hoja si tusilipe nauli wala si kutokukusanya mapato."Kwa mujibu wa Temesa, nauli za kivuko kwa watu wazima ni Sh200 na watoto hadi miaka 14 ni Sh50, huku wanafunzi wakipanda bure".:wave: Source; Mwananchi 27th Aug. 2013
Hili ndilo ninalotamani tupate...
Nalipongeza kanisa katoliki kushiriki katika vita dhidi ya Madawa ya kulevya waziwazi. Pope majuzi ametutaka tuwe na nia thabiti, na hili lililofanyika linadhihirisha hiyo nia thabiti na ndilo tu litaweza kurekebisha taifa na dunia. Wote wenye taarifa hizi muhimu tuziweke wazi kwa mapana yake...
Nalipongeza kanisa kwa kushiriki katika vita dhidi ya Madawa ya kulevya. Pope majuzi ametutaka tuwe na nia thabiti, na hili lililofanyika ndilo tu litaweza kurekebisha taifa. Wote wenye taarifa hizi muhimu tuziweke wazi kwa mapana yake ili hukumu tuitoe sisi wenyewe dhidi ya wahusika
baada ta muda wa saa nzima, ya kuhangaika na kupata tairi la kuazima, Polisi Msamvu waibuka, hakuna safari bila spare tyre. Mbeya walikuwa wapi? Ajali ungekuwa mbaya wangejiteteaje? Baada ya kulipa fine gari laruhusiwa. Nini bora, fine au usalama? Sasa limeruhusiwa
Tujadiliane hapa kidogo. Inakuwaje gari liana toka Mbeya kwa safari ndefu ya kilometa zisizopungua 800 bila kuwa hata na tairi la dharura? Gari limeegeshwa Msamvu, yapata saa Moja sasa na hakuna ufumbuzi wowote. Je, utoshelevu wa vifaa vya gari si sehemu ya ukaguzi wa kila siku wa jeshi la...
Katika hali ya kumshukuru Mola, tairi ya mbele kushoto bus la Muro toka Mbeya lapasuka tairi Morogoro wakati likiingia stand kuu ya Morogoro. Mwendo mdogo wa 5km/h umepelekea kulinusuru gari hilo katika janga kubwa ambalo lingeweza kutokea Kama mwendo ungekuwa tuliouzoea
This is great! nimeisoma rasimu yote. softcopy ipo Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa ajili yako.
Rasimu inaleta mwanga mzuri wa Tanzania tunayoitaka hasa pale ambapo inaonesha nia ya uwajibikaji zaidi wa serikali kwa wananchi na pia lengo la kupata kweli viongozi wa kisiasa kwa ajili ya...
Hume, website ya Wizara ya ardhi ina ramani rasmi ya 2012 inayoonesha Tanzania na mipaka yake
jaribu kuangalia na ukishindwa, nadhani kipande hiki ambacho nime exract toka ramani kitakusaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.