Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,290
- 53,251
Watu walitoa maoni yao kuhusu hizo
ofisi ulizotaja lakini chaajabu sijui
wamesahau ama ni nini.
Nakumbuka kwenye bajeti ya utawala
bora hata Wabunge walitaka Katiba
inayo itamke bayana kuhusu ofisi
hizi ila najua kwenye Bunge la Katibu
huenda moto ukawaka sana.
ofisi ulizotaja lakini chaajabu sijui
wamesahau ama ni nini.
Nakumbuka kwenye bajeti ya utawala
bora hata Wabunge walitaka Katiba
inayo itamke bayana kuhusu ofisi
hizi ila najua kwenye Bunge la Katibu
huenda moto ukawaka sana.