Cha muhimu ni kumwombea rais wetu Mungu azidi kumlinda na kumuongoza pia tuiombee nchi yetu iwe na amani ya kudumu,kubali au kataa,Rais Magufuli ni zawadi tuliyopewa watanzania na Mungu kuikarabati upya nchi yetu,wajibu wetu ni kumwombea tu
Anayesababisha yote hayo ni makonda mwenyewe,kwa nini asitoke na kuonyesha vyeti vyake mjadala uishe!anapokaa kimya au anavyolia haisaidii kitu umetuhumiwa jibu tuhuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.