Recent content by mpamba lioto

  1. M

    Rais Magufuli anaingia kwenye vita kali

    Cha muhimu ni kumwombea rais wetu Mungu azidi kumlinda na kumuongoza pia tuiombee nchi yetu iwe na amani ya kudumu,kubali au kataa,Rais Magufuli ni zawadi tuliyopewa watanzania na Mungu kuikarabati upya nchi yetu,wajibu wetu ni kumwombea tu
  2. M

    Connect dots hapa kuhusu Jaji Mujulizi na Kikwete

    Huyu FaizaFoxy ni mdini mpaka ana kera,anajidai anajua kumbe hajui kitu,bogas mujahedeen
  3. M

    Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

    Kuwa na akiba ya maneno
  4. M

    Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

    Huyu FaizaFoxy anafikiri anajua,kumbe chenga tupu
  5. M

    Nape, usipolichukulia MwanaHALISI hatua utakuwa una chuki binafsi

    Anayesababisha yote hayo ni makonda mwenyewe,kwa nini asitoke na kuonyesha vyeti vyake mjadala uishe!anapokaa kimya au anavyolia haisaidii kitu umetuhumiwa jibu tuhuma
  6. M

    Rais Magufuli amteua Bi. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Huu ni uteuzi mbovu kwangu hii demotion kwake first lady mpaka Mbunge!
  7. M

    Rais Magufuli amteua Bi. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Huu ni uteuzi mbovu kwangu hii demotion kwake first lady mpaka Mbunge!
  8. M

    Wanayofanyiwa watuhumiwa wa ugaidi Segerea

    Kama ni magaidi kweli muongezewe adhabu,kama mmesingiziwa Mungu awasaidie awafanyie wepesi
  9. M

    Mbunge wa Arusha G.Lema na Mke wake wafikishwa mahakamani leo

    Unaposema wakili msomi una maana Gani? Unamaanisha mawakili wengine siyo wasomi?
  10. M

    Wanayofanyiwa watuhumiwa wa ugaidi Segerea

    Kama mmpo mahabusu kwa kusingiziwa Mungu awasaidie awapatie wepesi kama kweli ninyi ni magaidi awazidishie adhabu
  11. M

    Itakuwa kibao cha jeshi hakukiona...

    Hawana kitu,huu ni ujinga
  12. M

    Nimeota ndoto kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo

    Mkuu kweli uliona maono kilombero mtu kala mvua kweli
  13. M

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Rais yuko sahihi,kama waliuza chakula mipakani imekula kwao ardhi ya kijani maana yake hakuna ukame alafu unasema Kuna njaa!
  14. M

    Fikiria ni mkeo halafu unachepuka, nadhani jibu unalo...!

    Hata kisu kushika hajui
Back
Top Bottom