Waliomzunguka magupuli ndio wanaosababisha haya wanaogopa kumshauri kwani wanaogopa kabla, wanafikiria yeye ni mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wanaacha kukamata mateja wamsamvu morogoro standpale wanasimama barabara ya kutokea dodoma wanasumbua watu barabarani pale nusu ya watu kugongwa wanaanza kuhangaika fb pulamalaka popoccm type.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata polepole aliwafananisha na corona lakini mifisi iliyosimamia mambo yote inajificha kwa chadema sijui chadema ndio inapewa kazi za kujenga madaraja sijui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliwahi kusema wanaanza kwenda na Burazili India Engirand lakini zipo tu Eapot wanaanika usiku na mchana cheki kama ile napauka tu. Halafu tumeagiza nyingine na tumelipa keshi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ktk wote walounga juhudi Abdul ntulia , patrobas katambi, waziri wa tamisemi walimepewa rushwa ya pesa na wengine vyeo ila kwa sababu ya anayetoa rushwa ndio mla rushwa tunafunika kikombe ili kisitumike kunywea pombe 2020 kwani ni haramu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.