Hahaaaaaa kwanza nimecheka sana bro na Pili ulochokifanya n cha kiuanaume mwanaume lazma uwe na mu stand huyo Shem ka kwel alikuwa anaomba angeomba Hyo hali ya ugomvi isitokee lkn inaonekana huko Church walikuwa wapiga dili tu
Swla la kurudiana nae siwez kukushaur ww hapo amua vp anakufaa au...
Hahaaaaaaaaaaaa huyo mjamaa ukimpa shoka na kigogo chenye ukubwa wa mkono wake hapasui haki ya nani.
Hivyo n Vyakula Vya Ku maintain body na sio kuupa mwili nguvu
Xx kwa mtu ka mm Mzee wa kazi za mitulinga unanilisha kabeji na tango half nikapakue mifuko mia ya cement Kwe semi trela...
Kwel kabisa Mkuu hakuna haja kwa nchi yenye wananchi maskin kama hii lakin pia inatakiwa tupate viongoz wenye uchungu na ugumu wa maisha ya watanzania na cio uchu wa Mali tu
Kwa kosa la kuitukana hutokaa uiache fanya yafuatayo
1.epuka kupita sehemu zinazouza vilevi
2.jitahidi kuwakwepa marafiki walevi
3.tafuta shughuli ya kuku keep busy all the tym
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.