sina hakika sana lkn ipo hiv:
1.Tengeneza mchoro wa chupa unayotaka wewe. hii rahisi sana
2.Peleka kwnye kiwanda kinachoweza kukuchongea mold au umbo la hiyo chupa. Hii sidhan kama TZ tunaweza ila china.
3.Ukipata mold nadhan viwanda vyetu hapa bongo wanaweza kutumia hiyo mold kukutengenezea...
Kama ni ukuta tu(solid wall) bila louvres au magril tegemea kutumia tofali 3,500 hii ni kwa ukuta wa mita 3 juu kutoka usawa wa ardhi. Yani msingi/kiuno 0.5m na ukuta wenyewe ni 2.5m
Chini hapo ni moja ya kazi zangu mt meru hospital ni ukuta wenye urefu wa mita 360 hivi. Tembelea Instagram...
Ili upate idadi ya tofali lazima ujue mzingo(circumference) ukitumia eneo kama hiyo 400sqm inaweza kua ni 20X20=400sqm mzingo itakua ni (20+20)x2=80m au 25X16=400sqm na mzingo (25+16)x2=82m au 40x10=400sqm na mzingo ni (40+10)x2=100m nk. So vipimo vyote hapo juu vitakupa majibu tofauti Weka...
Wankyo Nyigesa ni room mate wangu mabibo hostel ni comedian flan hiv anapenda utani, mchangamfu sana lkn yote Tisa jamaa anaupendo sana. Mara ya kwanza kukutana nae room nilikua simuelewi kabisa lkn baadae nikagundua jamaa ana amani sana moyoni mwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.