Recent content by moyochuma

  1. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa tatizo langu la hedhi endelevu

    Naomba kueleza kwa undani, mimi tokea ni mschana nilikua na hali ya kutopata hedhi kwa wakati, yani nilikua naweza kukaa hata miezi 5,6,7 bila kuingia hedhi....na sikua nikiumwa tumbo wala chochote kile, sema kama binti hali hii ilikua inanitesa sana....niliwahi kwenda hospital kuonana na dr...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa tatizo langu la hedhi endelevu

    Hello, habari za muda huu! Wapendwa, naombeni ushauri kutoka kwa yeyote aliye na uzoefu na hali kama yangu na jinsi alivyofanikiwa kuondokana nayo. Mimi ninasumbuliwa sana na tatizo la kupata hedhi endelevu; naweza nikableed hata miezi mitatu mfululizo. Kwakweli, napitia changamoto kubwa na bado...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Jamani macho yanauma balaah

    Habari zenu WanaJF: Mwenzenu nimekuja naomba mnisaidie kitu hapa yaan mwaka Juzi mwezi WA Saba nilianza kusumbuliwa na tatizo la macho kuuma tena nikiwa usingizini nikawa na hangaika kama naumia Ile nastuka usingizi nakuta macho yanauma Sanaa aisee hayo maumivu hayaelezeki, kulipokucha nikaenda...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wakuu sijalala macho yanavuta, Naomba msaada

    Samahani naomba kuuliza nina tatizo ambalo lilianza mwaka jana, Usiku nilipokua nimelala nilistuka nikiugulia macho yanauma sana...Nilipoenda hospital nikaonana na doct wakanichek pale, wakanitaka nisome maandishi nikasoma vizuri, nikaambiwa huenda nikawa nina tatizo la macho ikanibii nichukue...
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Asante mkuu.
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Asante Sana kwa kunielewesha vizuri, barikiwa sana.
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Asante Sana, sasa nilivyoona malipo nikajua ndo nimeshindwa ,na nilivyo binyeza hapo nikapewa 364 sasa nikataka kueleweshwa...kama nimekosea sehemu nijue
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mmh...Sawa lkn ungenielekeza Tu maana kuna vitu sijui hapo....plz
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Msaada wakuu mi mgeni humu, hivi nimekua ikiwa ivi ndo umeshalipwa au?
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Asante
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    NI kweli nimokosea kuandika mambo mengi...plz msaada kampuni gani nzuri kwa kubet
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Msaada jamani naomba kujuzwa Betway ipi nzuri na Una malipo sio matapeli
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

    Aisee dunia inamambo mengi eeh...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Yai la kuku limepata ufa kabla ya kumalizika kwa siku za kuatamia

    Wakuu naamini humu kuna wafugaji wenzangu jamani. Mimi ndio najifunza kufuga. Nina kuku wangu analali, ana siku 14, sasa basi leo wakati naangalia mayai kama yatakua na vifaranga ndani, dah kwa bahati mbaya yai moja nikajikuta nimeligonga na simu kwahiyo limeingia ufa. Swali ni kwamba niliache...
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tujikumbushie movies zilizotukuza in 80s, 90s & early 2000s

    Jamani jamani, za kihindi mkuje huku...Kuch Kuch hii ni ya kitambo Sana nakumbuka enzi izo TV chache yaan mkuwa na TV nyie ndo matajiri, sijui huyo ndo ya Kwanza kuangalia Ile imeisha Tu watu wote wamejaa machozi...pia Nigeria, Rams noa: promise, which, yna
Back
Top Bottom