Wakuu naamini humu kuna wafugaji wenzangu jamani. Mimi ndio najifunza kufuga.
Nina kuku wangu analali, ana siku 14, sasa basi leo wakati naangalia mayai kama yatakua na vifaranga ndani, dah kwa bahati mbaya yai moja nikajikuta nimeligonga na simu kwahiyo limeingia ufa.
Swali ni kwamba niliache aendelee kulalia au? Please naomba anaejua anijuze.
Nina kuku wangu analali, ana siku 14, sasa basi leo wakati naangalia mayai kama yatakua na vifaranga ndani, dah kwa bahati mbaya yai moja nikajikuta nimeligonga na simu kwahiyo limeingia ufa.
Swali ni kwamba niliache aendelee kulalia au? Please naomba anaejua anijuze.