Recent content by Moyo_Wa_Champion

  1. Moyo_Wa_Champion

    Dawa gani ilikusaidia kwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo?

    Wengine wamepona kwa kula papai bivu kila siku kabla ya kula chakula cha asubuh, mchana na usiku. Pia epuka kula vyakula vunavyo pelekea tumbo kuuma.
  2. Moyo_Wa_Champion

    Dawa gani ilikusaidia kwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo?

    Hizi dawa zilinisaidia kupona ila kabla ya kutumia ni vizuri ukakutana na wataalam wa afya. Pantroprazole Tablets 40 mg.
  3. Moyo_Wa_Champion

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimechoka kupoteza kila siku, Tafadhali nahitaji code ya uhakika ya leo.
  4. Moyo_Wa_Champion

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Click kwenye join now> ingiza no ya simu> weka password> verify mobile no> uta click kwenye SMS OTP utafanya swali watakalo leta ili wahahiki kama sio robot> na utaingiza hiyo OTP watakayo kutumia kweny message
  5. Moyo_Wa_Champion

    Mnaotoa fedha kupitia NMB wakala kuweni makini

    Inawezekana ikawa shida ya mtandao maaana kuna siku message ya kutoa hela ila ilikuwa hela za kwenye simu ilionesha nimetoa hela na message zikaja mbili na zinafanana kila kitu. Ila aende benki yeyote iliyo karibu yake kwa maelezo zaidi na achukue bank statement inaonesha transaction zote na...
  6. Moyo_Wa_Champion

    Msaada: WhatsApp haisomi majina

    Kama unatumia GB Whatsapp. Enda kwenye Gb setting>Home screen>forward setting.. Turn off izo options zote tatu.
  7. Moyo_Wa_Champion

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nipe uelewa zaidi kuhusu hii option ya booking
Back
Top Bottom