Recent content by moyo wenye aman i

  1. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Nani mwenye mchango mkubwa kwenye mafanikio yako, mpe shukrani zake

    Baba mama na watumishi wa mungu, Baba na Mama wa kiroho, Big up sana.
  2. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Je, mnaishi kama mume na mke au mnaishi kama wanandoa?

    Asante mkuu.
  3. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Je, mnaishi kama mume na mke au mnaishi kama wanandoa?

    Asante mkuu, najitahidi sana kuiambia nafsi yangu hivohivo.
  4. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Je, mnaishi kama mume na mke au mnaishi kama wanandoa?

    This is my wife. 1 nikiwa na hali ngumu na ninatumia godoro na sturi za kukalia za mtu kwa makubaliano ya kumlipa bila mke kujua, ila siku moja baada ya malipo kuchelewa akaja akaniwashia moto nikiwa na wife mda wa jion ugali ukisongwa (dah aibu) nikamuomba kwa kubembeleza anipe siku 15 nitampa...
  5. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu hili sitalisahau kabisa

    Wanajamvi poleni na harakati za hapa na pale. Jamani nakumbuka hili tukio mpaka saivi ilikuwa 2020 ndo nimetoka kambi-jkt nipo zangu nyumbani pale bomangombe nikamuona Dada kama 23 years mambo yakawa fleshi nikampa taarifa ilikuwa jtano kuwa nitafika mjda wa chai. Basi Siku ilipofika nikaazima...
  6. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Naweza kupata gari la mizigo linalotoka Morogoro to Moshi.?

    karibu jirani nipo hapa himo nakunywa chai ila pambana usafiri utapata tu
  7. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

    ingekuwa vema ungeweka location upo dar mwanza au kigoma?
  8. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Natamani kumjua mke wa Gentamycine nione uvumilivu alio nao

    i wish u all the best
  9. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Wanawake kuna Mtoto wa mtu ulimpenda ila baadae ukasema huyu hata nifanyeje siyo level yangu?

    huwezi pata majibu ndugu ukitaka majibu wataje kabisa wakina to yeye hao wamehifadhi mengi kwenye vifua
  10. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Huu mfumuko wa bei unatuumiza zaidi sisi majobless.

    sitasahau siku moja nipo mafunzo (jeshi) kosa dogo nikapewa mti uliokita mizizi kila kona niugeuze uwe kuni alafu vipande hivyo vya kuni nivipeleke jikoni dah
  11. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Ameniambia nikifika Tanzania atanipeleka haya maeneo. Nitafurahi Sana na ni Raha kuu

    Hahaha mkianza matembezi munitag
  12. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Nimesikitika sana kwa Tukio hili

    Bill lugano hogera sana hiyo ni neema iliyokulinda bili hivo tungekupoteza.
  13. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Katika mahusiano ogopa sana watu hawa

    ACHANA NA MAMBO YA DINI WEWE NI GASHO
  14. moyo wenye aman i

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya uandishi wa habari (only radio)

    Salam sana. Rejea kichwa tajwa juu. Nimekuwa mhariri wa kituo cha redio hapa kanda ya kasikazini kikubwa tu kwa mda mrefu sana ila nimechoka kukaa ndani natamani kutoka nje mwenye msaada tafadhari fanya kitu (mimi ni ke 28 years) Be blessed.
Back
Top Bottom