Recent content by movirwa

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kabla wamisionari hawajaja Afrika na kufundisha kuhusu mbinguni na kuzimu wazee wetu walikuwa wanaenda wapi?

    Walikuwa wanaabudu mizimu ya kiafrica, sasa tuaabudu mizimu ya kizungu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tulipofikia kama Taifa

    Tusisahau pia mchango wa dini za vitabu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wamiliki silaha kinyume na sheria kusamehewa

    Huu ni ubunifu katika mkakati wa kuondokana na uhalifu! Toa msamaha kwa mhalifu. Kutatua tatizo la ubakaji, toa msamaha kwa wabakaji; kadhalika, kutokomeza rushwa na wizi wa mali ya umma, toa msamaha kwa wahusika nk nk. Haijakaa sawa
  4. M

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole: Popote ulipo, naomba jibu la swali hili ukija kwenye press ya tarehe 3/9/2025 kama ulivyoahidi

    Imeshatokea mara nyingi katika nchi kadhaa kinga kama hizi kuondolewa na wanufaika kushtakiwa baada ya kutoka madarakani. Hizi kinga haziwahakikishii usalama wa kudumu wakingiwa
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo Rais Samia anavyoonekana kimataifa!

    Tabia yake ilijionesha mapema tangu akiwa mwenyekiti mwenza/msaidizi, bunge la katiba. Sikumbuki kama wakati mzee Warioba akishambuliwa na kudhalilishwa na Bashite na wahuni wenzake ndiye aliyekuwa anaongoza kikao au ni Sitta. Ila kwa nafasi aliyokuwa nayo ungetarajia walau akemee, hakufanya...
  6. M

    JamiiForums Tanzania PICHA: Sasa nimeelewa kwanini CHADEMA walikataa Kata Kata.

    Badala ya CDM, Chauma ndio wanapigwa kama mbwa koko. Hapo vipi!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Huyu mkuu wa mkoa wa Ruvuma alipandishwa cheo kwa kufuata seniority au ni zawadi ili aendelee kulinda maslahi ya boss wake kwenye makaa ya mawe?

    Mkuu, unatuthibitishia kuwa viongozi wetu wanahangaika na maisha yao sio?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Padre: Uovu upo duniani si kwasababu waovu wanatenda maovu ila kwasababu kuna watu wema walio kaa kimya

    Huyu jamaa nimekuwa nikifuatilia comments zake, nimeamua kumpuuza. Ni caliber ya wale waafrka waliokuwa wakiwarongoshea waafrika wenzao wakakamatwa na kuuzwa utumwani. Faida walokuwa wanapata kwa kuwasaliti wenzao vitu vidogo kama kioo na shanga. Bure kabisa
  9. M

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole: Tafakari, tumeuzwa, tumepigwa bei. Rostam Aziz amepewa migodi kwa bei ya kulangua!

    Your name, though pseudo, is a true reflection of your thinking
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Maombi ya kujionesha, hata kama ni ya siku tisa (Novena), Mungu hayasikii

    Kwa wote mnaosali/omba, mkumbuke kuwa kuna mpango wa Mungu (divine plan) na kila jambo/tukio lilishawekwa kwenye mpango huo. Kusali/kuomba jambo hili au lile litokee au lisitokee ni sawa na kumshawishi mungu abadili mpango wake. Dini zinatuchanganya sana wanadamu!
  11. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Mwaka huu hakuna uchaguzi, ni CCM VS CCM, CCM na ACT-Wazalendo ni kitu kimoja!

    Mkuu, ni nota bene ikimaanisha ‘mark well’, sio nta bele
  12. M

    JamiiForums Tanzania Habari za Lissu zinatembea kama mabua yaliyochomwa moto

    Je, walengwa au waathirika wa tukio la ujambazi wanatakiwa waombwe kuwa mashahidi? Uhaini ni dhidi ya serikali ikiongozwa na Mh Rais, naibu wake na Waziri Mkuu. Iwapo lengo la haini lingetimia, yumkini wakuu hao sio tu wangepoteza nafasi zao bali pia wangeweza kuuawa. Hivyo watatu hao yawapasa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Krismasi ya mapinduzi / crăciunul revoluționar

    Naona mjadala kama unalenga kufifisha hoja ya mtoa mada
Back
Top Bottom