Meya aliechaguliwa nani!? Huyo ni sa kichina!. Kura lazima itarudiwa. Infact hata ya mbunge mkitaka rudieni mfanya na madiwani wote kwa upya Muone cha moto A town!!.
Kwenye suala la ndoa, mke atachukua uraia wa mume wake kama ambavyo ilivyo sasa kwa wanaoa mataifa mengine!. Hapa mi nadhani ni either serekali Moja yenye magavana wawili na Rais moja wa JMT au Serekali Tatu. Tanganyika na Zanzibar ziwe na magavana na sio marais. Zanzibar inaimeza Tanganyika na...
Kwenye suala la ndoa, mke atachukua uraia wa mume wake kama ambavyo ilivyo sasa kwa wanaoa mataifa mengine!. Hapa mi nadhani ni either serekali Moja yenye magavana wawili
Bora kabisa, uchaguzi urudiwe, hatujaridika na idida ya kura tulizopata!. Ratio ilikuwa iwe 1: 10. Tume harakisha uchaguzi urudiwe na ile kata nyingine ya sombetini tupate mpango mzima.
Baadhi ya wapiga kura wamenyimwa Haki Yao ya kupiga kura kwa sasa namba ya kadi zao hazilingani na Kwenye Daftari la wapiga kura!!. Mkurugenzi wa uchaguzi na timu yake Wame wachakachua!.
CCM msiwapotoshe Malaigwanani, wanaofamya vurugu ARUSHA tena kwa kuagizwa na wakuu wao ni RC na RPC, kwa hiyonmnapokusudia mnapokusudia kuandamana, dhamira iwe kuwatoa wao na sio vinginevyo, hata Kama watawachinjia ng'ombe kumi, simameni kwenye ukweli. Maandamano yapo kisheria, polisi wanapaswa...
una maana ya : salamu sana na baada ya salamu mimi sijambo? Ha ha haaaah! utasubiria sana, Kwani uchaguzi wenyewe umeahirishwa kwa jinsi gani? habari ndio hiyo.
Unashindwa kufikiria, wengine tunaona Mbowe kapendelewa kwa jinsi malami yanavyo mwagwa huko hai, tena maeneo mengine lami juu ya lami wakati majimbo mengine nchini ni mashimo mpaka basi!. Au juzi rais alipokuwa huko mpaka akasifiwa ulikuwa hayati!?. Amka!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.