Recent content by Moto Ulao

  1. Moto Ulao

    GE2020 Kawe ina heshima tayari, inahitaji maendeleo

    Kawe mpya na Gwajima
  2. Moto Ulao

    GE2020 Huenda Askofu Gwajima akawa ni msaada mkubwa kwa nchi yetu

    Tukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi wa kiroho upande wa Wakristo na mgombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM anaweza kuwa msaada mkubwa...
  3. Moto Ulao

    Nimemuota leo Askofu Gwajima naomba mnisaidie maana ya ndoto hii

    Nimewai kusoma vitabu vingi vya ndoto na maana zake. Kwa ndoto yako iyo inabidi akutafute akiapishwa ili uwe nabii wake. Mtazamo tu.
  4. Moto Ulao

    Elimu ya Josephat Gwajima inatia mashaka

    Kuhusu PhD ya Gwajima hiyo alipewa na hicho chuo kutokana na kazi yake anayofanya kwenye jamii; walifanya assessment wakaona ni mtu kafanya kazi kubwa kwenye jamii, kaandika vitabu 32 na vimetafsiriwa kwa lugha zaidi ya 20 duniani na vinasomwa nchi tofauti za lugha tofauti na kutumia vyuoni vya...
  5. Moto Ulao

    Baba Askofu Gwajima, Mwenyezi Mungu anakuona

    Askofu, manabii hivi ni vyeo vya Kimungu Kama vyeo vingine vya kiislamu. Naona uwe unajenga hoja zenye mashiko. Tanzania ni nchi ya kidemokrasia kila mtu yupo huru Ila kutovunja sheria.
  6. Moto Ulao

    Gwajima ahadi hii iliishia wapi?

    Ataitekeleza tu hata Mungu mwenyewe aliwaahidi wana wa Israel nchi ya maziwa na asali lkn ilchukua miaka mingi kutimia Wanakawe tumeamua kwenda na Gwajima hivyo hivyo
  7. Moto Ulao

    Gwajima atumwa Ninawi, akimbilia Tarshishi, Kawe imtose Baharini

    Yeye ni yona 😂😂 kwani kasema wapi kwamba anakimbia kanisa, embu tuliza mshono kidogo. Yajayo yanafurahishaaaa 🤧🤧
  8. Moto Ulao

    GE2020 Je, Gwajima anaandaliwa kuchukua nafasi ya Mch. Getrude Rwakatare (RIP mama)?

    Mshana Jr, Waache wafu wapumzike kwa amani usiwataje taje. Alafu hizo kila kona unazozisemea unazijua wewe na alienyuma yako. Ujue bhana kila mtu ana pande mbili na pia mtu haukumiwi kwa zamani yake. Hayo mambo ya kumtukana Askofu ni ya zamani na alikuwa anapinga mahakama ya kazi sio kwamba...
  9. Moto Ulao

    GE2020 Gwajima: Aliwatusi Kardinali Pengo, Waislamu, CCM, Makonda, leo yupo jukwaani

    Umejuaje ni msukule kama sio wewe uliemchkua msukule
  10. Moto Ulao

    GE2020 Gwajima: Aliwatusi Kardinali Pengo, Waislamu, CCM, Makonda, leo yupo jukwaani

    mbona mnataabika sana? Hii ni nchi huru fanya unachokitaka, kila anachokisema kiko relevant na muda anaousema wa kukemewa anakemewa, wakuonywa anaonywa, wa kupongezwa anapongezwa. Ni mchungaji asienyamaza anasimamia haki. Mbona alimwambia nabii tito ukweli na akamuombea ila akaamua kurudi...
  11. Moto Ulao

    GE2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani

    Mbona mnaongelea sana saa Za asubuhi ndo maagizo mlopewa kwa mganga wenu kule bagamoyo?
  12. Moto Ulao

    GE2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani

    Heh una attendance list ya kanisani kwake au unahusika na kurekodi takwimu pale? Waumini wakifika wanaripoti kwako au? Unabisha tu bure nani hamjui mzee wa kuamsha dude? Elimu ya bashite ulipewa wapi wewe kama sio unabisha bure? He is the course of embarrassment 😂😂 are you happy with your...
  13. Moto Ulao

    GE2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani

    We umeambiwa na nani au ndio mliongea kwenye kile kikao chenu kile, haanguki mtu hapa. Yaani ndo utajua hujui
Back
Top Bottom