Dah, salary slip unadhani wewe ni mjanja sana wanaCDM wasiyaone hayo unayoyasema? Tangu lini uongozi ukapatikana kwa ukabila? Akili ndogo haiwezi ongoza eneo kubwa!
Ni ngumu sana kuamini kama maaskofu wote hawakufikiria ila Kadinali Pengo pekee ndiye aliyefikria zaidi kuwa tofauti na tamko la Maaskofu. Si kweli kuwa uamuzi wa kupiga kura ni wa watu pekee.
Ikumbukwe pia Mwalimu Nyerere alishawahi kuzuia mgombea uraisi jina lake lisipitishwe. Kwa mantiki...
Wabungenjaa kweli wewe ni zaidi ya kilaza yaani unataka kusema gurumo hana uhusiano na ccm? Unawaza kutumia kichwa au makalio? Unahakika lugemalira katoa pesa nje ya ccm?
Kwani aliyekuambia ambulance inakomea Hospitali ya wilaya pekee ni nani? Inaweza kumkimbiza mgonjwa kwenda KCMC au Arusha akili yako iko kwenye kupinga tu...ifike wakati uwe unapongeza...sawa East African
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.