Million 70 napata nyumba kali kama 5 ivi hata kama viwanja vyake havijapimwa nachukua cordinates naenda jiji au manespaa kucheki kama viwanja viko sawa nachukua mabanga
Million 70 napata nyumba kali kama 5 ivi hata kama viwanja vyake havijapimwa nachukua cordinates naenda jiji au manespaa kucheki kama viwanja viko sawa nachukua mabanga
Mimi ni kijana wa miaka 30 natafuta mke HIV+ urefu wangu ni cm 165 au futi 5.4 ni mfanyabiashara na sijaanza ARV's sababu CD 4 bado zipo juu nimeupata ivi karibuni.
Vigezo ni;
1. Awe maji ya kunde, mwupe au mwarabu
2. Muislam na anaijua dini
3. Miaka 18-28
4. Asiwe ana mtoto sababu na mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.