Recent content by mosses son

  1. mosses son

    Mbaroni kwa kumsababishia kifo mtoto wake

    Tuangalie sana majina haya tunayopewa mmmmmh! Yanatisha na yanasadifu yaliyomo
  2. mosses son

    Dkt. Mpango: Rais Samia anakerwa na mauaji yanayotokea nchini. Ameagiza Jeshi la Polisi kufanya msako kubaini wanaojiuhusisha na vitendo vya mauaji

    Acha uongo wew kwa kazi gani unayoifanya mbon unajimwambafai san hata hela huna mbwembwe tu hamna lolote
  3. mosses son

    Kwanini wachawi hutupia watu majini?

    Mbona ww mwongo san jamaa angu kutoka 7:22-25 hakuna neno uchawi instead of neno waganga ndo lipo
  4. mosses son

    Tunaokosa kazi kwa kigezo cha J.K.T tufanyeje?

    We hata kazi huna apo ulipo
  5. mosses son

    Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

    Unalowaza mzee mda alishatoka kitambo ww waza kumuua wakati apo ulipo tayar alishakumaliza wala hateteleki anacheza na akili hachez na mwili hata kidgo
  6. mosses son

    Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

    Pesa tamu sana mwache mzee atanue ni haki yake ndo utajua hujui
  7. mosses son

    Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

    Maisha ni kuliana timing tu akikuwahi ndo ivyo huna chako kwa kher mwalimu
  8. mosses son

    Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

    Afu wew acha utani basi wew siyo kijana wa miaka 41
  9. mosses son

    Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

    Jina tu lenyewe ni kikoozi afu unalilia hela ya nni na kuzaliwa apo sio tija pambana mtoto wa kiume acha kulialia ko unataka umkabe baba ako siyo
  10. mosses son

    NASA wanatafuta mtu wa kumlipa ili aishi mazingira ya sayari ya Mars yaliyojengwa Marekani

    Sisi wabongo mbona ni wepesi sana kukubali kila jambo mbogo kwa Experiments daaah shida sana. Wao kama wao NASA wanaogopa kwenda kuishi huko sayari ya Mars si waende wao akaaah mpishi wa chakula ni mwingine na anayeonja chumvi tena ni mwingine
  11. mosses son

    Kwa matokeo ya kidato cha 4, sisi kama taifa ni vilaza wakubwa

    Sis wana mahesabu hatunaga Quadractic equation ndo naanza kuisikia kwako
  12. mosses son

    Uwezo wa maji ya baraka kupambana na nguvu za giza

    Apo ndo analoga zaidi huu ushaur mwingine mngekuw mnakaa kimy unachek uzi then una chill mtakujaga kuua pasipo kutarajia
  13. mosses son

    Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

    Ndo upambane sas hakuna mtu atakuja na bakuli la ngawila akupe
Back
Top Bottom