Habari wa ndugu kwa wale wafugaji wa kuku wa nyama nafahamu katika kuandaa banda la kuku kwa ajiri ya kuingiza vifaranga n lazima pawepo na malanda na malanda mazuri hasa ambayo hayana mazala kwa kuku wako n malanda ya mpunga japo kwa hapa Dar n garama kidogo kwa roba moja ni 7000 ad 8000 mimi...
unajua katika maisha kabla ujafanya jambo lazima utazame kua jamii inaitaji nn sasa katika mihangaiko yote anayofanya binadam katika maisha yake cha kwanza anahangaikia kula then mambo mengine yanafwata
Kwa yoyote ambaye angependa kuinvest au kuamua kufanya bishara nje na kazi anayofanya, biashara ya chakula iko poa. Mimi nipo tayari tufanye kazi pamoja.
Ninachomaanisha n kua nataka nipate taratibu za ofisi tofauti tofauti maana uwezi peleka matunda ofisini kama unapeleka saiti ofisi huwa zina talatibu zake naisi n lazima ufwate taratibu ili uweze pata ruhusa ya kuwa unaingia
Naombeni kufahamu kwa wale wote wanaofanya kazi katika ofisi mbalimbali hasa katika makampuni, kwa plan kama yangu utaratibu unakuaje ili niweze kuwa nawaletea matunda ofisini kwenu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.