huyu kisandu nailimfaham tangu enzi za uundwaji wa umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu(CHASO),huyu jamaa anapenda madaraka kuliko hata hata nafsi yake.Kwa wale waliobahatika kusoma kitabu cha fasihi kidato cha nne kijulikancho kwa jina la MFALME JUHA,huyu jamaa ana sifa zote za mfalme JUHA ambaye...
Kiukeweli mimi niliwasikiliza hawaq jamaa yaani wameniboa sana, tatizo la Clouds wanapenda kualikua kuwa MC kwenye birthday ya JK na hivyo wanaona kuwa wakiibeba CCM ndo wanajihakikishia ulaji.
Ajenda yao ilikuwa kuipinga habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima kuwa hukumu ya kesi ya...
duuu!!!kweli hapa patamu,mbona juliana amejikita sana kwa Dr.Slaa bila kujibu hoja.Anyway hii kambi ya zito ngoja iteme nyongo zake hapa ili baada ya hapo tujue ni uamuzi gani wa kuchukua!!
duuu!!!kweli hapa patamu,mbona juliana amejikita sana kwa Dr.Slaa bila kujibu hoja.Anyway hii kambi ya zito ngoja iteme nyongo zake hapa ili baada ya hapo tujue ni uamuzi gani wa kuchukua!!
hii thread imeamsha hisia zangu kali sana kwa kulikosa gazeti la mwanahalisi,kwa kweli walaniwe wote waliolifanyia hila chafu.
huo ndo ukweli uliojiri ktk mchakato ule na uhuni wote huo ulikuwa ukifadhiliwa na zito.mimi nina ushahidi wa jinsi zito alivyomfadhili juliana shonza,na mgogoro ulianza...
hii thread imeamsha hisia zangu kali sana kwa kulikosa gazeti la mwanahalisi,kwa kweli walaniwe wote waliolifanyia hila chafu.
huo ndo ukweli uliojiri ktk mchakato ule na uhuni wote huo ulikuwa ukifadhiliwa na zito.mimi nina ushahidi wa jinsi zito alivyomfadhili juliana shonza,na mgogoro ulianza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.