Huyu ndio Habib Mchange

Huyu ndio Habib Mchange

Wadau mwenye kufahamu aliko sasa huyu Bw. Liberatus Mlebele, tafadhali atujuze.
Nimependa ujasiri na uzalendo aliouonesha wakati huo. Pia jinsi CC ya CHADEMA chini ya Dr. Slaa, Prof. Safari na Marandu walivyokuwa wepesi kulishughulikia tatizo lile.

Hawa watuhumiwa wa Mamuya ni kansa fulani!
. Kijana yupo, napiga kazi ya Chama, na jana tu amemtimua katibu wa BAVICHA wa Mkoa wa Mwanza aliyejifanya kuandaa mandamano kwa ajili ya kumpiga Dr. Slaa, atajitokeza tu muda sio mrefu, ila mchange bado ana bifu naye.
 
Naona wengi wanaogopa kuchangia uzi huu wanaogopa majumbani mwao hakuna kitakachosalia kwani hadi Panya zitaangamia...
 
Haya makapi yafuliwe tu kweny chama wasituchafulie chama chetu
 
Naombeni kujua kama kweli hizi namba hapo juu kama ni za wajumbe wa BAVICHA.. Halafu mbona jumla ya hiyo pesa haifiki Sh. 2, 561,000??

 
hii thread imeamsha hisia zangu kali sana kwa kulikosa gazeti la mwanahalisi,kwa kweli walaniwe wote waliolifanyia hila chafu.
huo ndo ukweli uliojiri ktk mchakato ule na uhuni wote huo ulikuwa ukifadhiliwa na zito.mimi nina ushahidi wa jinsi zito alivyomfadhili juliana shonza,na mgogoro ulianza baada ya mchange kuenguliwa na juliana akabaki bila alliance hali ambayo imemuwia vigumu sana kufanya kazi na heche maana zilikua timu pinzani tangu wakati wa mchakato
 
hii thread imeamsha hisia zangu kali sana kwa kulikosa gazeti la mwanahalisi,kwa kweli walaniwe wote waliolifanyia hila chafu.
huo ndo ukweli uliojiri ktk mchakato ule na uhuni wote huo ulikuwa ukifadhiliwa na zito.mimi nina ushahidi wa jinsi zito alivyomfadhili juliana shonza,na mgogoro ulianza baada ya mchange kuenguliwa na juliana akabaki bila alliance hali ambayo imemuwia vigumu sana kufanya kazi na heche maana zilikua timu pinzani tangu wakati wa mchakato
 
Machozi yamenitoka kugundua mwanahalisi hatunaye tena.
Pumb** uongozi wa dhaifu.
Sasa hawa jamaa ss hv wanadhani tumesahau eti wanasema majina yao yalikatwa bila kuwa na ushahidi wa makosa yao?..
Wakati walikiri makosa nakuadhibiwa.
Inasikitisha sana!..
 
thread hii imeletwa hapa kimkakati,
kwa kuwa walioleta wanawajua waliowatuma, na kwa kuwa wao kwa ufupi wao wa kufikiri wanaamini kuwa hii ndio silaha yao kwangu, leo nasema ukweli kuhusu hili humu jamvini, tena nasema ukweli bila hata kumung'unya neno hata moja, na wakati nasema ukweli najua kuna watu watasema nilikuwa wapi siku zote.
ndugu zangu, mimi ni muumini mzuri sana wa siasa za kweli na haki, mimininaamini katika mtu kuwa awarded kulingana na nafasi na ushiriki wake, lakini kikubwa mimi ni muumini mzuri wa kuhakikisha chama changu kinaendelea kuwa imara.

NASEMA HIVI.
1. sijakatwa na kuenguliwa BAVICHA kwa sababu ya rushwa, nimekatwa kwa sababu za siasa zenu hizi cha chuki, unafiki na majungu majungu ziizotawaliwa na WOGA...msimamo wangu wa kutokubali kumezeshwa ujinga kichwani mwangu ndio kinachoniponza zaidi.

2. wali
okuwepo kwenye kikao wakati nakatwa wanaweza kuthibitisha. alitafutwa hadi GIRLFRIEND wangu aandike mashtaka kuwa mimi sio mstaarabu ili nienguliwe lakini akakataa...wakatafutwa hadi watu wa VCOBA wakasema nimewadhurumu wakatafutwa hadi viongozi wanafiki wakasema nimewatukana..nafahamu moyoni kwanini nilienguliwa BAVICHA na hata HECHE anafahamu kwanini ALIPEWA KITI cha dezo''...hakuna kesi ya rushwa duniani kote yenye adhabu ya kumuengua mtu kwenye uchaguzi na kesi kuishia hapo hapo.. mwanahalisi wao walijikuta wakinitumia kutimiza malengo yao kumshambulia Zitto, in any how kama niliyekatwa ni mimi kulikuwa na haja gani ya kumuhusisha zitto kwenye ukatwaji wangu?.
3. hakuna kesi ya rushwa duniani kote ambayo mwendesha mashtaka ndio huyo huyo mshitaki, ndio huyo huyo shahidi na ndio huyo huyo hakimu....na kama mimi nilienguliwa kwa rushwa MWAMPAMBA alienguliwa kwa kosa gani?...NYAKARUNGU alienguliwa kwa sababu ipi?.

sisi tunaokipenda chama tuliamua kukaa kimya tuendelee kukuza chama, kukaa kwetu kimya hakukumaanisha kuwa ni wajinga. ukwatwaji wangu unahusika moja kwa moja mikakati ya baadhi ya viongozi wa kichama kuhakikisha sishindi, mwanzo walizani nacheza walipoona nguvu yangu wakaungana na kuamua kunikata. nasisitiza tena rushwa ilikuwa ni shitaka moja kati ya mashitaka zaidi ya nane niliyosomewa kwenye hicho kikao.

katika kuwathibitishia kuwa mwanahalisi ilifanya kazi ya kuhalalisha ukatwaji wangu ili kujihami kuwa nilitoa rushwa kwa madai eti chama chetu ni mpiganaji mkuu wa rushwa, naomba nisisitize yafuatayo.

1. Mwanahalisi ambalo ndio linatumiwa kama kielelezo kikuu cha mashtaka yangu imeongopa kama alivyofanya ndugu ben saa nane hii leo.

A. ukijumlisha jumla ya pesa ambazo wanadai nilizituma haziwezi kufika hata laki tano wao wamesema nimetuma jumla ya shilingi milioni 2.5 huu ni uwongo nilioudharau kuupinga lakini sasa lazima niweke kumbukumbu sawa.

B. Mtitiriko wa mashtaka hayo umekaa kiujanja ujanja kiasi kwamba hakukuwa hata na namba moja ya kweli niliyoirushia pesa, leo nitazielezea namba zote zilizoorodheshwa hapo kwenye gazeti hilo.
(i) mwanahalisi wanasema '' Alianza kutapakanya fedha kwa wajumbe 11 Mei 2011 saa 10:44.58 ambapo kiasi cha Sh. 28,500 zilitumwa kwa mmoja wa wajumbe wenye simu Na. 0659 374206''. ukweli ni kwamba mwenye namba 0659374206 hajawahi wala sio mjumbe wa BAVICHA..mwenye namba hiyo kipindi hicho ni mzee hamis lichonyo ambaye umri wake unazidi miaka 63 kwa sasa, huyu ni mzee wangu katika siasa na ni mwenyeji wa mkoa wa lindi, tumefundishwa vijana kuishi vizuri na wazee wetu, hivyo mzee wako anapokuomba msaada si vibaya kumsaidia, nilimsaidia mzee wangu..

(ii) mwanahalisi waliendelea kuongopa ''Mchange alituma Sh. 50,000 kwenda kwa mwenye Na.
0713 867745'' ukweli ni kwamba mmiliki wa namba hii ni ndugu fikirini rajabu, huyu wakati namtumia pesa alikuwa ni mwanafunzi wa mwaka wa pili wa chuo kikuu cha dodoma akisoma project planning and community development-hajawahi hata kuwa kiongozi wa kata wa chadema wala BAVICHA.

(iii). wakaendelea kudanganya kuwa mchange ''alituma Sh. 19,000 kwa mwenye Na. 0713 866650''. ukweli ni kwamba mmiliki wa namba hii ni NDUGU NKYA ambaye ni mfanya kazi wa kampuni ya simu ya tigo tawi la mlimani city nilipompigia simu baada ya gazeti hili kuchapishwa akacheka sana na kuahidi kutokuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.

(iv) mwanahalisi likaendelea kudanganya watanzania kuwa Wengine waliotumiwa fedha na Mchange; ni wenye Na. 0712 511508 aliyetumiwa Sh. 26,000.....oooh my God MWANAHALISI WALIENDELEA kudanganya, mmiliki wa namba hii anaitwa ALLY MCHANGE, ni kaka yangu wa kuzaliwa, yeye ni mtaalamu wa hotelians na mechanical engineer, hajui lolote kuhusu siasa na wala hana kadi ya chama chochote cha siasa, tukio pekee la kisiasa alilowahi kushiriki ni kunisaidia kwenye kampeni zangu za ubunge wa kibaha. mwanahalisi ni WANAFIKI NA WAONGO KAMA BEN SAA NANE.

(iv) mwanahalisi waliendelea kubwabwaja kuwa saa 12:41.48 alituma Sh. 81,000 kwa mwenue Na.
0714 038536. hapa waliendelea kudanganya sana, mwenye namba hii anaitwa NYEMBO M. TEMBA huyu hajawahi kuwa mjumbe waBAVICHA HATA SIKU MOJA, yeye ni msaidizi wa mweshimiwa zitto kabwe tena jimboni kigoma kaskazini tena wa kijijini mwandiga.

(V) Uwongo mwingine wa MWANAHALISI NI HUU kuwa niliendelea kutuma pesa kwenda kwa mjumbe mwenye mwenye Na.
0713 606169
aliyetumiwa Sh. 10,000 ambaye alitumiwa fedha hizo, saa 22:24.31. --hapa pia walidanganya kikamilifu, mmiliki wa namba hii anaitwa EDWARD KINABO (naye ni mwana JF), na kipindi hicho naye alikuwa anagombea ujumbe wa BARAZA KUU KUPITIA BAVICHA huku akiwa ni mwandishi wa habari wa GAZETI LA TANZANIA DAIMA na makala zake maarufu za WARAKA WA KINABO, ni rafiki yangu sana sana siku hiyo nilikutana naye sinza, WHITE INN BAR akaniambia ndugu yangu nataka kwenda sehemu lakini sina pesa, mimi nikamwambia sina CASH naweza kukurushia kwenye TIGO PESA tukakubaliana nikamrushia tukaachana akaenda na zake. gazeti lilipotoka hakuwa ameiona namba yake, akanipigia simu kunipa pole, nikamwambia sijawahi kutoa rushwa kwenye maisha yangu, na sitakuja kutoa rushwa mpaka naingia kaburini, akabisha nikamwonyesha namba yake, nikamuuliza nawewe nilikupa rushwa?. akasikitika tukaendelea na mishe nyingine...

namba pekee ya mjumbe wa bavicha bwana liberatus dotto ambaye nilimtumia jumla ya shilingi 40 elf (mwanahalisi wao wamedanganya kuwa nilimrushia laki moja na nusu-150,000/=) ambazo yeye mwenyewe aliniomba mara nne tofauti, mara ni 0717 268576 AMBAYE KUMBE ALITUMWA NA WAPINZANI WANGU ASEME NIMEMPA RUSHWA, Mungu ni mkubwa kwani wakati anatoa ushuhuda wa mimi kumrushia yeye rushwa ya nauli tayari nilishapata nakala ya ticket yake ya ndege ya shirika la precision air yenye namba E-TICKET NUMBER 03144109725678 ya ndege aina PW411 ya kwenda Dar tarehe 25.05.2012 na kurudi mwanza tarehe 02.07.2012 AMBAPO ALIWASILI JKN AIRPORT SAA 10:00AM na kurudi mwanza kwa ndege ya saa 18:00 jioni kwa tarehe hisika. ticketi hizi zililipiwa na kiongozi mmoja wa chama ambaye kwa kipindi hicho alikuwa mbunge na taarifa zinasema alirudishiwa pesa zake na chama baada ya kutimiza kazi zake ipasavyo---hapa walidhihirisha ujinga wao na nikazidi kuwadharau..maana wamenishtaki kwa kutoa rushwa ya kutengeneza huku wao wakitoa rushwa ya zaidi ya laki 3.7 kwa ticket....

MWANAHALISI walishindwa kuthibitisha kuonyesha Transactions za watu waliowataja kama Wlfred kitundu wa singida na mwengine yeyote, badala yake wakachukua print out zangu za tigo na mpesa na kuzihusianisha na rushwa, hii ni lugha ile ile aliyoionyesha saa nane humu jamvini..
siku katibu mkuu ananisomea haya mashtaka sikuamini macho na masikio yamgu, sikuamini kama kiongozi niliyekuwa nataraji angekuwa rais miezi sita nyuma angeweza kushiriki kwenye uwongo wa namna ile..
narudia sikutaka kuweka hadharani haya kwa sababu yanawahusu moja kwa moja viongozi wangu wa chama..

nasema tena kwa msisitizo, SIJAENGULIWA BAVICHA KWA SABABU YA RUSHWA, NIMEENGULIWA KWA SABABU YA SIASA ZA WOGA DHIDI YA MAHUSIANO YANGU NA ZITTO.

nitaendelea kufichua kila unafiki dhidi yangu mpaka hapo jamii itakapoelewa na kuziona true colours za baadhi ya wiongozi wetu.

 
Mchange,

1. Unaweza kusema wakati unagawa hizo fedha ambazo umekiri mwenyewe kwa kigezo cha kusaidia watu mbalimbali ulikuwa unafanya kazi gani na ulikuwa na kipato cha kiasi gani?

2. Kwa uzoefu wa siasa kwa kuwa uliwahi kuwa mgombea ubunge, ni lazima kwa mtoa rushwa ukichukulia mfano wa uliyekuwa unashindana naye Kibaha mjini awape wapiga kura wenyewe au anaweza kuwapa mawakala na mawakala wakafikisha kwa walengwa?

3. Unaweza kueleza ni kwa vipi fedha kama kweli ni za msaada ulizotoa katika kipindi cha kuelekea uchaguzi?

4. Kwanini hukujitetea wakati huo unasubiri hivi sasa mpaka Mwanahalisi limefungiwa ndio unakuja kubishana nalo?

PM
 
Haki sawa's Avatar
Senior Member Array

Join Date : 3rd October 2007
Posts : 212

Rep Power : 615

Likes Received
152
Likes Given
0

Default Mpango wa kuhujumu M4C na CHADEMA huu hapa - chukueni hatua..

Leo tarehe 29.08.2012 niko hapa maeneo ya Lumumba Kariakoo , kuna rafiki yangu alinialika mlo wa mchana katika moja ya migahawa ya hapa Lumumba na kuwa kwangu hapa niomekutana na tukio ambalo nimeamua niliweke hadharani kabla halijatokea kwani naamini kabisa kuwa lengo la mpango huu ni kuendelea kutugawa taifa kwa misingi ya Ukabila jambo ambalo sikubaliani nalo kama ambavyo ninapinga kugawa watanzania kwa misingi ya udini .

Mwigulu Nchemba , juzi jumatatu amechapisha tisheti zenye maandishi ya M4C – na ameweka maana kwenye hizo tisheti ambazo bado hazijaanza kugawanywa kuwa ni Movement 4 Chagga na ameweka maandishi makubwa kuwa changia Movement 4 Chagga (M4C), Zipo na zitaanza kugawanywa muda wowote .

Zoezi hili linaendena sambamba na operation ya Mwigulu ya kwenda Igunga eti kuelezea nini kilitokea mahakamani kwa wana Igunga , ziara hii imepangwa kuanza siku ya Jumamosi kwani alikuwa anasubiria FUSSO waliyonunua kwa shilingi milioni arobaini na tisa (49,000,000) na kuitengeneza kama za CDM ikamilike na walinunua vifaa Mlimani City tayari tangu wiki iliyopita.

Lengo la kuweka hapa ni kuwajulisha CDM wajue kuwa kuna mipango hiyo tayari imepangwa na inaendelea kutekelezwa , chukueni hatua .Aidha kuna vijana wenu watatu majina leo nayahifadhi wanafanya vikao vingi sana na Mwigulu na wa mwisho alipofika kwake wiki iliyopita alipewa shilingi laki nane , mara ya kwanza alipewa shilingi milioni tatu na huyu ametangaza rasmi kuwa atajiunga na CCM wakati wowote – fuatilieni waliogombea Bavicha na kushindwa na hata mmoja aliweza kushinda ila anawahujumu nyie CDM.

Sikubaliani na mipango ya kuligawa taifa kwa misingi ya Udini na Ukabila hivyo nitaipinga sana hata kama mtanijua LIWALO NA LIWE.

NI MIMI MPIGA FILIMBI-

Updates za leo jumapili tarehe 02.09.2012

Baada ya taarifa hii kurushwa hapa na mpango mzima kuwekwa hadharani , Mwigulu ameingia kwenye mgogoro mkubwa wa kifamilia na amefikia hatua ya kuwafukuza watoto wa kike aliokuwa anakaa nao nyumbani kwake Basihaya kuwa kuna nyaraka za vikao hazionekani na anaamini kuwa waliotoa taarifa hizi ni pamoja na wao. Hawa ni wale aliowatoa kijijini kwake kwa hoja kuwa atawasaidia kusoma lakini akawa anawafanya kama wake zake pindi mkewe akiwa hayupo .

Mkewe Mwigulu ni Mchagga wa Machame.


Kitendo cha kuwafukuza kikazua mambo mengine makubwa kati yake na watoto hao yakaibuliwa kwani wamemweleza Mkewe ambaye alikuwa msimamizi wa sensa mkoa wa Dodoma kuhusiana na jinsi alivyokuwa akiwalazimisha kufanya nao ngono kipindi akiwa hayupo na hali nyumbani imechafuka .
Kuhusu nyaraka anazodai kuwa zimeondolewa nyumbani kwake ni pamoja na zile za vikao kama bajeti za chama na nyinginezo mbalimbali za vikao mbalimbali vya CC ya CCM , NI lini zitawekwa hadharani nafikiri ni suala la muda tuu.

Fusso mpaka sasa bado ipo Tabata Dampo , inasubirio nini haijajulikana bado, kijana wake aliyemvisha zile t.shirts yaani James naye wamegombana sana kama ilivyo kwa wale vijana watatu wa CDM ambao walikuwa na mpango wa kujiunga na CCM sasa anawaona kama ni mashushushu waliotumwa kwenda kumchimba kwani amewaeleza kuwa haiwezekani kiasi cha pesa alichowapa kiweze kuandikwa bila wao kushiriki katika kutoa taarifa kwani hilo walifanya na mtu mmoja mmoja .

Kwa leo naishia hapo.

Last edited by Haki sawa; 2nd September 2012 at 10:21. Reason: up dates
 
Naombeni kujua kama kweli hizi namba hapo juu kama ni za wajumbe wa BAVICHA.. Halafu mbona jumla ya hiyo pesa haifiki Sh. 2, 561,000??

mkuu elba.
nimeweka wazi kabisa hapo kuwa namba hizo ni za hawa wafuatao

1. ally mchange - 0712511508 ambaye ni kaka yangu wa kuzaliwa..

2. Edward kinabo - 0713 606169 - ambaye ni mwandishi wa tanzania daima na rafiki yangu

3. mzee hamisi lichonyo- 0859 374206- ambaye ni mzee wangu kutoka lindi

4. nkya - 0713-866650- ambaye ni mfanya kazi wa tigo

kwa sasa nimewamaliza hoja yao...namba hizo hapo mwenye kubisha ahakikishe...kama kakanyangu wa tumbo moja naye kumrushia pesa ni rushwa, basi tusubiri tuone.
 
Mchange,

1. Unaweza kusema wakati unagawa hizo fedha ambazo umekiri mwenyewe kwa kigezo cha kusaidia watu mbalimbali ulikuwa unafanya kazi gani na ulikuwa na kipato cha kiasi gani?

2. Kwa uzoefu wa siasa kwa kuwa uliwahi kuwa mgombea ubunge, ni lazima kwa mtoa rushwa ukichukulia mfano wa uliyekuwa unashindana naye Kibaha mjini awape wapiga kura wenyewe au anaweza kuwapa mawakala na mawakala wakafikisha kwa walengwa?

3. Unaweza kueleza ni kwa vipi fedha kama kweli ni za msaada ulizotoa katika kipindi cha kuelekea uchaguzi?

4. Kwanini hukujitetea wakati huo unasubiri hivi sasa mpaka Mwanahalisi limefungiwa ndio unakuja kubishana nalo?

PM
ndugu, mimi sibishani na mwanahalisi hapa, mimi nawaelekeza nyinyi mlioshikiwa akili kwa majungu na fitina...ninakupa changamoto, namba hizo hapo nenda tigo ukaulize kama ni za wajumbe wa BAVICHA...kama tigo mbali fanya kama unawatumia pesa kwa tigo pesa kabla ya hatua ya mwisho yatakuja majina yao....
hatuwezi kuujenga upinzani imara kwa kuwekeza kwenye majungu na fitna...na sio kila mtu ili mumshinde na kumshushia credibility ni lazima mseme ametoa rushwa ama ni fisadi...matokeo yake ndio hayo sasa nimeamua kuwaumbua...link mmeweka wenyewe na inawaumbua wenyewe...
 
thread hii imeletwa hapa kimkakati,
kwa kuwa walioleta wanawajua waliowatuma, na kwa kuwa wao kwa ufupi wao wa kufikiri wanaamini kuwa hii ndio silaha yao kwangu, leo nasema ukweli kuhusu hili humu jamvini, tena nasema ukweli bila hata kumung'unya neno hata moja, na wakati nasema ukweli najua kuna watu watasema nilikuwa wapi siku zote.
ndugu zangu, mimi ni muumini mzuri sana wa siasa za kweli na haki, mimininaamini katika mtu kuwa awarded kulingana na nafasi na ushiriki wake, lakini kikubwa mimi ni muumini mzuri wa kuhakikisha chama changu kinaendelea kuwa imara.

NASEMA HIVI.
1. sijakatwa na kuenguliwa BAVICHA kwa sababu ya rushwa, nimekatwa kwa sababu za siasa zenu hizi cha chuki, unafiki na majungu majungu ziizotawaliwa na WOGA...msimamo wangu wa kutokubali kumezeshwa ujinga kichwani mwangu ndio kinachoniponza zaidi.

2. wali
okuwepo kwenye kikao wakati nakatwa wanaweza kuthibitisha. alitafutwa hadi GIRLFRIEND wangu aandike mashtaka kuwa mimi sio mstaarabu ili nienguliwe lakini akakataa...wakatafutwa hadi watu wa VCOBA wakasema nimewadhurumu wakatafutwa hadi viongozi wanafiki wakasema nimewatukana..nafahamu moyoni kwanini nilienguliwa BAVICHA na hata HECHE anafahamu kwanini ALIPEWA KITI cha dezo''...hakuna kesi ya rushwa duniani kote yenye adhabu ya kumuengua mtu kwenye uchaguzi na kesi kuishia hapo hapo.. mwanahalisi wao walijikuta wakinitumia kutimiza malengo yao kumshambulia Zitto, in any how kama niliyekatwa ni mimi kulikuwa na haja gani ya kumuhusisha zitto kwenye ukatwaji wangu?.
3. hakuna kesi ya rushwa duniani kote ambayo mwendesha mashtaka ndio huyo huyo mshitaki, ndio huyo huyo shahidi na ndio huyo huyo hakimu....na kama mimi nilienguliwa kwa rushwa MWAMPAMBA alienguliwa kwa kosa gani?...NYAKARUNGU alienguliwa kwa sababu ipi?.

sisi tunaokipenda chama tuliamua kukaa kimya tuendelee kukuza chama, kukaa kwetu kimya hakukumaanisha kuwa ni wajinga. ukwatwaji wangu unahusika moja kwa moja mikakati ya baadhi ya viongozi wa kichama kuhakikisha sishindi, mwanzo walizani nacheza walipoona nguvu yangu wakaungana na kuamua kunikata. nasisitiza tena rushwa ilikuwa ni shitaka moja kati ya mashitaka zaidi ya nane niliyosomewa kwenye hicho kikao.

katika kuwathibitishia kuwa mwanahalisi ilifanya kazi ya kuhalalisha ukatwaji wangu ili kujihami kuwa nilitoa rushwa kwa madai eti chama chetu ni mpiganaji mkuu wa rushwa, naomba nisisitize yafuatayo.

1. Mwanahalisi ambalo ndio linatumiwa kama kielelezo kikuu cha mashtaka yangu imeongopa kama alivyofanya ndugu ben saa nane hii leo.

A. ukijumlisha jumla ya pesa ambazo wanadai nilizituma haziwezi kufika hata laki tano wao wamesema nimetuma jumla ya shilingi milioni 2.5 huu ni uwongo nilioudharau kuupinga lakini sasa lazima niweke kumbukumbu sawa.

B. Mtitiriko wa mashtaka hayo umekaa kiujanja ujanja kiasi kwamba hakukuwa hata na namba moja ya kweli niliyoirushia pesa, leo nitazielezea namba zote zilizoorodheshwa hapo kwenye gazeti hilo.
(i) mwanahalisi wanasema '' Alianza kutapakanya fedha kwa wajumbe 11 Mei 2011 saa 10:44.58 ambapo kiasi cha Sh. 28,500 zilitumwa kwa mmoja wa wajumbe wenye simu Na. 0659 374206''. ukweli ni kwamba mwenye namba 0659374206 hajawahi wala sio mjumbe wa BAVICHA..mwenye namba hiyo kipindi hicho ni mzee hamis lichonyo ambaye umri wake unazidi miaka 63 kwa sasa, huyu ni mzee wangu katika siasa na ni mwenyeji wa mkoa wa lindi, tumefundishwa vijana kuishi vizuri na wazee wetu, hivyo mzee wako anapokuomba msaada si vibaya kumsaidia, nilimsaidia mzee wangu..

(ii) mwanahalisi waliendelea kuongopa ''Mchange alituma Sh. 50,000 kwenda kwa mwenye Na.
0713 867745'' ukweli ni kwamba mmiliki wa namba hii ni ndugu fikirini rajabu, huyu wakati namtumia pesa alikuwa ni mwanafunzi wa mwaka wa pili wa chuo kikuu cha dodoma akisoma project planning and community development-hajawahi hata kuwa kiongozi wa kata wa chadema wala BAVICHA.

(iii). wakaendelea kudanganya kuwa mchange ''alituma Sh. 19,000 kwa mwenye Na. 0713 866650''. ukweli ni kwamba mmiliki wa namba hii ni NDUGU NKYA ambaye ni mfanya kazi wa kampuni ya simu ya tigo tawi la mlimani city nilipompigia simu baada ya gazeti hili kuchapishwa akacheka sana na kuahidi kutokuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.

(iv) mwanahalisi likaendelea kudanganya watanzania kuwa Wengine waliotumiwa fedha na Mchange; ni wenye Na. 0712 511508 aliyetumiwa Sh. 26,000.....oooh my God MWANAHALISI WALIENDELEA kudanganya, mmiliki wa namba hii anaitwa ALLY MCHANGE, ni kaka yangu wa kuzaliwa, yeye ni mtaalamu wa hotelians na mechanical engineer, hajui lolote kuhusu siasa na wala hana kadi ya chama chochote cha siasa, tukio pekee la kisiasa alilowahi kushiriki ni kunisaidia kwenye kampeni zangu za ubunge wa kibaha. mwanahalisi ni WANAFIKI NA WAONGO KAMA BEN SAA NANE.

(iv) mwanahalisi waliendelea kubwabwaja kuwa saa 12:41.48 alituma Sh. 81,000 kwa mwenue Na.
0714 038536. hapa waliendelea kudanganya sana, mwenye namba hii anaitwa NYEMBO M. TEMBA huyu hajawahi kuwa mjumbe waBAVICHA HATA SIKU MOJA, yeye ni msaidizi wa mweshimiwa zitto kabwe tena jimboni kigoma kaskazini tena wa kijijini mwandiga.

(V) Uwongo mwingine wa MWANAHALISI NI HUU kuwa niliendelea kutuma pesa kwenda kwa mjumbe mwenye mwenye Na.
0713 606169
aliyetumiwa Sh. 10,000 ambaye alitumiwa fedha hizo, saa 22:24.31. --hapa pia walidanganya kikamilifu, mmiliki wa namba hii anaitwa EDWARD KINABO (naye ni mwana JF), na kipindi hicho naye alikuwa anagombea ujumbe wa BARAZA KUU KUPITIA BAVICHA huku akiwa ni mwandishi wa habari wa GAZETI LA TANZANIA DAIMA na makala zake maarufu za WARAKA WA KINABO, ni rafiki yangu sana sana siku hiyo nilikutana naye sinza, WHITE INN BAR akaniambia ndugu yangu nataka kwenda sehemu lakini sina pesa, mimi nikamwambia sina CASH naweza kukurushia kwenye TIGO PESA tukakubaliana nikamrushia tukaachana akaenda na zake. gazeti lilipotoka hakuwa ameiona namba yake, akanipigia simu kunipa pole, nikamwambia sijawahi kutoa rushwa kwenye maisha yangu, na sitakuja kutoa rushwa mpaka naingia kaburini, akabisha nikamwonyesha namba yake, nikamuuliza nawewe nilikupa rushwa?. akasikitika tukaendelea na mishe nyingine...

namba pekee ya mjumbe wa bavicha bwana liberatus dotto ambaye nilimtumia jumla ya shilingi 40 elf (mwanahalisi wao wamedanganya kuwa nilimrushia laki moja na nusu-150,000/=) ambazo yeye mwenyewe aliniomba mara nne tofauti, mara ni 0717 268576 AMBAYE KUMBE ALITUMWA NA WAPINZANI WANGU ASEME NIMEMPA RUSHWA, Mungu ni mkubwa kwani wakati anatoa ushuhuda wa mimi kumrushia yeye rushwa ya nauli tayari nilishapata nakala ya ticket yake ya ndege ya shirika la precision air yenye namba E-TICKET NUMBER 03144109725678 ya ndege aina PW411 ya kwenda Dar tarehe 25.05.2012 na kurudi mwanza tarehe 02.07.2012 AMBAPO ALIWASILI JKN AIRPORT SAA 10:00AM na kurudi mwanza kwa ndege ya saa 18:00 jioni kwa tarehe hisika. ticketi hizi zililipiwa na kiongozi mmoja wa chama ambaye kwa kipindi hicho alikuwa mbunge na taarifa zinasema alirudishiwa pesa zake na chama baada ya kutimiza kazi zake ipasavyo---hapa walidhihirisha ujinga wao na nikazidi kuwadharau..maana wamenishtaki kwa kutoa rushwa ya kutengeneza huku wao wakitoa rushwa ya zaidi ya laki 3.7 kwa ticket....

MWANAHALISI walishindwa kuthibitisha kuonyesha Transactions za watu waliowataja kama Wlfred kitundu wa singida na mwengine yeyote, badala yake wakachukua print out zangu za tigo na mpesa na kuzihusianisha na rushwa, hii ni lugha ile ile aliyoionyesha saa nane humu jamvini..
siku katibu mkuu ananisomea haya mashtaka sikuamini macho na masikio yamgu, sikuamini kama kiongozi niliyekuwa nataraji angekuwa rais miezi sita nyuma angeweza kushiriki kwenye uwongo wa namna ile..
narudia sikutaka kuweka hadharani haya kwa sababu yanawahusu moja kwa moja viongozi wangu wa chama..

nasema tena kwa msisitizo, SIJAENGULIWA BAVICHA KWA SABABU YA RUSHWA, NIMEENGULIWA KWA SABABU YA SIASA ZA WOGA DHIDI YA MAHUSIANO YANGU NA ZITTO.

nitaendelea kufichua kila unafiki dhidi yangu mpaka hapo jamii itakapoelewa na kuziona true colours za baadhi ya wiongozi wetu.




AKILI FYATU

ZIMEKWISHA KAMA SOLI ZA VIATU,,KWA AKILI HII NI BORA WEWE NA ZITTO MUENDELEE KUAMINI WAGANGA WA KIENYEJI TUH


:A S 114::A S 114: :A S 114::A S 114::A S 114::A S 114::A S 114::A S 114::A S 114::loco::loco::loco::loco::loco:
 
Duh, kuitoa CCM madarakani kwa mtindo huu ni baadae sana!
 
Kweli MWANAHALISI lilikuwa gazeti makini.
Umakini wa Mwanahalisi ni upi hasa wakati Kubenea alikuwa ni mtumishi tu na hakuhusika na hizo habari za kumkandia ZITTO?
hili Gazeti na kiongozi wa juu kabisa wa katika ngazi wa CHADEMA kwa hiyo siri zote zilitumwa huko kuchafuana. Kama kusafisha hicho Chama sio Zitto, BAVICHA nk ni kujipanga upya kwani wmevamiwa na walaji wakawasahau hata wale kina mama (km Mwenyekiti wa Kina mama wa Xhadema alivyoondoka na kuacha laana nyuma)
Kwa vile wote wana Sharubu acheni watatambua nani mkuu na nani mtoto wa kutumwa
 
ndugu, mimi sibishani na mwanahalisi hapa, mimi nawaelekeza nyinyi mlioshikiwa akili kwa majungu na fitina...ninakupa changamoto, namba hizo hapo nenda tigo ukaulize kama ni za wajumbe wa BAVICHA...kama tigo mbali fanya kama unawatumia pesa kwa tigo pesa kabla ya hatua ya mwisho yatakuja majina yao....
hatuwezi kuujenga upinzani imara kwa kuwekeza kwenye majungu na fitna...na sio kila mtu ili mumshinde na kumshushia credibility ni lazima mseme ametoa rushwa ama ni fisadi...matokeo yake ndio hayo sasa nimeamua kuwaumbua...link mmeweka wenyewe na inawaumbua wenyewe...

Kaka Mchange,

Jibu maswali ya PM aliyokuuliza hapo juu. Halafu taja namba zote, usichague hizo chache.

Asha
 
Umakini wa Mwanahalisi ni upi hasa wakati Kubenea alikuwa ni mtumishi tu na hakuhusika na hizo habari za kumkandia ZITTO?
hili Gazeti na kiongozi wa juu kabisa wa katika ngazi wa CHADEMA kwa hiyo siri zote zilitumwa huko kuchafuana. Kama kusafisha hicho Chama sio Zitto, BAVICHA nk ni kujipanga upya kwani wmevamiwa na walaji wakawasahau hata wale kina mama (km Mwenyekiti wa Kina mama wa Xhadema alivyoondoka na kuacha laana nyuma)
Kwa vile wote wana Sharubu acheni watatambua nani mkuu na nani mtoto wa kutumwa

Kwa hiyo Mwanahalisi sio makini hata habari za Ulimboka na Rama walizusha! Kama hivyo ndivyo, serikali kwa nini ilihangaika?

Asha
 
Back
Top Bottom