Recent content by Mosae

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mambo 10 usiyoyajua kuhusu Tanzania

    we msahaulifu sana umesema 10 unataja 11
  2. M

    JamiiForums Tanzania Simu card swap

    Mimi ni freelancer nauza line line za simu sana ila wateja wangu wengi wanapenda mtandao wa VODACOM. Huwa wanashindwa kunielewa pale wanapohitaji huduma ya SIM SWAP na hapa ni kijijini inakosa, nauli ya mji kwenda na kurudi 17000 wanashindwa kumudu gharama. Naomba kwa yeyote mwenye ujuzi na...
  3. M

    JamiiForums Tanzania VODAFONE VF685 UNLOCK CODES

    ni kweli hata kama kuna kiingilio si bibaya
  4. M

    JamiiForums Tanzania VODAFONE VF685 UNLOCK CODES

    ntashukuru sana maana hapa kikjn mie ndo huwa wakat mwingine najaribu kurepea vcm vya majirani mfn. mic, ringer speaker, wet nk.
  5. M

    JamiiForums Tanzania VODAFONE VF685 UNLOCK CODES

    Please niunge na mimi, naishi kjjn kufika mjini gharama sana, ninzo 6 zinaomba password ila 1 niliokota 0753316092
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

    nashukuru kwa ushauri wenu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

    poa
  8. M

    JamiiForums Tanzania NI APP GANI NZURI YA KUTUMIA

    Nitumie app gani kusoma THE CURRENT MAP VIEW, ambayo inaonyesha vitu halisi vilivyopo kawa sasa, mfano nikipaki gari kisha nikaingia kwenye map location Nione kwa muda huo huo. Niliyonayo kwenye zimu hunionyesha ramani ya siku za nyuma miaka miwili iliopita.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tablet yangu Itel it1701 inajitouch yenyewe sometimes

    nashukuru
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

    Nina Hernia karibu na sehemu zangu za siri upande wa kulia, sio siri inaninyima raha japo sipati maumivu sana. Nashindwaga kucheka, kubeba kitu kizito, kuruka, kucheza, kupanda pikipiki nk. Naombeni dawa.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tablet yangu Itel it1701 inajitouch yenyewe sometimes

    Msaada nina tablet tajwa hapo juu huwa wakati mwinyine inanizuia kufanya chochoye pale inapoanza kufungua fungua na kufunika funika mafile, na hata hunikatia simu wakati naongea bila mimi kuitouch. Shida yake nini, nawasilisha.
Back
Top Bottom