Recent content by morris julius

  1. morris julius

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    First Born, Duhhh kweli nimekuelewa mkuu maisha yamekuwa magumu hata ile morali ya kazi hakuna. Hapa kazi tuu ni kauli mbiu nzuri sana, lakini sasa ni kazigani pasipo kulaa? Kula ni haki ya kitatiba ndo maana ukigoma kula unachukuliwa hatua Sawa na mhalifu mwingine Sent using Jamii Forums...
  2. morris julius

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wilaya gani Sent using Jamii Forums mobile app
  3. morris julius

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wilaya gani Sent using Jamii Forums mobile app
  4. morris julius

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wanaforum habari! Naomba kuuliza iv uhamisho tamisem wamesharuhusu? Maana mm kila nikiandika barua naambiwa na Mkurugenzi kuwa uhamisho umezuiwa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. morris julius

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mm ninaomba kuuliza jamani ivi kwa sasa hata ukipata wa kubadirishana nae serikakali watakubalia uhame maana mm nimempata ila naambiwa na mkurugenzi wangu kuwa uhamisho umezuiliwa.... Naomba msaada waaana forum
  6. morris julius

    Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

    Unaposema gunia unamaana gunia lenye ujazo wa debe ngapi ili kuweza kuleta kg108 specify please.
  7. morris julius

    Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

    Mbona majibu hayatoki kuwa mbegu hii kwa tz inapatikana au laa. Naelekea kuamini kuwa hizi ni porojo za social media. Pia nimeuliza interval ya shina na shina pamoja na mbegu ngapi kwa kila shina majibu bado sijui mtoa Uzi anagoogle. Please be open kwa msaada .
  8. morris julius

    Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

    Wakuu twendeni shamba. Ila msaada wa upatikanaji wa mbegu hiyo Mkuu. Pia interval kati ya shina na shina na jee shina moja ulitupia mbegu ngapi. Mm Niko Morogoro kilombero mahindi mara2 kwa mwaka. Kwahiyo najipanga nikitoa mpunga nitupie hiyo mbegu. Msaada mkuu.
  9. morris julius

    Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

    Mkuu ulipata gunia ngapi na uliuza sh ngapi kwa gunia au debe manaake hesabu ya mil 3 kwa heka mbili naona kama ume kadiria kwa kadirio la juuu. Ahsante mkuu.
  10. morris julius

    Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

    Hizo mbegu zinapatikana Tanzania kwa wingi. Je mahindi yake yanakomaaa kwa mda wa siku ngapi?
  11. morris julius

    Kuku aina ya SASSO wakiwa na siku 52

    Napendaga kujua namm pia.
  12. morris julius

    Jeshi la Polisi lafanikiwa kuwaua majambazi wanne na kurejesha baadhi ya silaha zilizoporwa

    Hii yabia yangu ya kutoamini haraka sijui itaisa lini. Kama sielewielewi HIV??
  13. morris julius

    nahitaji starlet no B ya ml3

    Mil. 3 au mil 13
  14. morris julius

    Faida za vibamia

    Mmmmmmmh ndio nini sasa hiiii ningejua nisingesoma
  15. morris julius

    Rais Magufuli amteua Prof. Kitila A. Mkumbo kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji

    Hongera yake . nachojiuliza je bado anasifa kikatiba ya kuendelea kugombea ubunge EA???
Back
Top Bottom