Recent content by Morogoro kaskazini

  1. Morogoro kaskazini

    JamiiForums Tanzania Israel Wameshambulia Beirut Lebanon, Iran walisema Beirut Ikipigwa Watajibu

    Mwenye uzi kakimbia😂😂😂
  2. Morogoro kaskazini

    JamiiForums Tanzania Kila Rais wa Marekani: Lazima aondoke na kichwa kimoja

    marekani tulikuwa tunaipa usuper isiokuwa nao ni taifa la kindezi tu ***** zao
  3. Morogoro kaskazini

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndege nyingine yaangushwa usiku huu US A-10 warthog

    Naona iran imeanza kutumia jammer air defense
  4. Morogoro kaskazini

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Nilikuwa namjibu huyo jamaa anavyo ibeza iran kwa kusema iran haijaidhoofisha marekani
  5. Morogoro kaskazini

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hata marekani hajapiga sehemu itakayo idhohofisha iran. Iran isingeendelea na vita mpaka leo wakina agachi wangekuwa bize wanatafuta ceasefire
  6. Morogoro kaskazini

    JamiiForums Tanzania Benjamin Netanyahu akitoa hotuba baada ya Ali Larijani kuuawa na jeshi la Israeli

    ANGEBIDI AWE WA KWANZA KUTOA TAARIFA KABLA YA WAZIRI WA ULINZI KIUFUPI HIO NI AI MZEE
  7. Morogoro kaskazini

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani

    alikufa ayatullah na vita ikaendelea
  8. Morogoro kaskazini

    JamiiForums Tanzania Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Jana kawasifu wa iran kuwa inawatu wenye akiri nyingi kudadeki.Mimi nina amini kiburi cha iran cha kuendelea na vita vile marekani ilipo shindwa kuharibu maandaki ya makombora ya iran kwa usuper power wa marekani kuanzi kwe jeshi,uchumi,ujasusi na ushawishi iran isingetoboa hata wiki aisee
  9. Morogoro kaskazini

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Huyu ni msemaji wa jeshi
  10. Morogoro kaskazini

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii vita marekani kabanwa kweli kweli hii vita marekani hatokuja kuisahau katika maisha yake
  11. Morogoro kaskazini

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Usiku huu Iran kachafukwa
  12. Morogoro kaskazini

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Usiku huu kuna drone kubwa ya marekani imetunguliwa huko bandari abbas
  13. Morogoro kaskazini

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    tel aviv inatetemeshwa vibaya mno leo iran kaiamulia israel
Back
Top Bottom