Recent content by Morogoro kaskazini

  1. Morogoro kaskazini

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Nilikuwa namjibu huyo jamaa anavyo ibeza iran kwa kusema iran haijaidhoofisha marekani
  2. Morogoro kaskazini

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hata marekani hajapiga sehemu itakayo idhohofisha iran. Iran isingeendelea na vita mpaka leo wakina agachi wangekuwa bize wanatafuta ceasefire
  3. Morogoro kaskazini

    Benjamin Netanyahu akitoa hotuba baada ya Ali Larijani kuuawa na jeshi la Israeli

    ANGEBIDI AWE WA KWANZA KUTOA TAARIFA KABLA YA WAZIRI WA ULINZI KIUFUPI HIO NI AI MZEE
  4. Morogoro kaskazini

    Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Jana kawasifu wa iran kuwa inawatu wenye akiri nyingi kudadeki.Mimi nina amini kiburi cha iran cha kuendelea na vita vile marekani ilipo shindwa kuharibu maandaki ya makombora ya iran kwa usuper power wa marekani kuanzi kwe jeshi,uchumi,ujasusi na ushawishi iran isingetoboa hata wiki aisee
  5. Morogoro kaskazini

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii vita marekani kabanwa kweli kweli hii vita marekani hatokuja kuisahau katika maisha yake
  6. Morogoro kaskazini

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Usiku huu kuna drone kubwa ya marekani imetunguliwa huko bandari abbas
  7. Morogoro kaskazini

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    tel aviv inatetemeshwa vibaya mno leo iran kaiamulia israel
  8. Morogoro kaskazini

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Tukubali ukweli tu hii vita marekani kachemsha yaani kapigwa sana aise leo siku ya tatu mashambulizi ya marekani ndani ya iran yamepungua sana inasemekana rada za kuongoza ndege nyingi zimepigwa mifumo ya ulinzi imechakazwa mbaya mpaka marekani kaenda kubeba mifumo ya ulinzi ya korea kusini...
  9. Morogoro kaskazini

    Iran imerudi enzi za Ujima: Hawana Air-Force hawana Navy na hawana Mifumo ya ulinzi wa anga

    Tukubali ukweli tu hii vita marekani kachemsha yaani kapigwa sana aise leo siku ya tatu mashambulizi ya marekani ndani ya iran yamepungua sana inasemekana rada za kuongoza ndege nyingi zimepigwa mifumo ya ulinzi imechakazwa mbaya mpaka marekani kaenda kubeba mifumo ya ulinzi ya korea kusini...
Back
Top Bottom