Ujue Ugonjwa wa Herpes na Matibabu Yake
Herpes ni nini?
Herpes ni ugonjwa wa virusi unaosababishwa na virusi vya Herpes Simplex Virus (HSV). Kuna aina kuu mbili za virusi hivi:
HSV-1 (Herpes Simplex Virus type 1) – Husababisha vidonda vya mdomoni (oral herpes), maarufu kama “fever blisters”...
Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikilia au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi (Opening) na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiliwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo...
(PROSTATE DISORDERS) TEZI DUME NI NINI?
Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume anayo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume. Kazi ya tenzi dume ni kutoa majimaji anayochanganyika na mbegu za kiume...
pima hivi vitu
Iron deficiency anemia ni anemia ambapo damu hukosa red blod cells zenye afya na hupelekea mzunguko wa damu kuwa hafifu kwenye mwili.
Congestive heart failure. Ambapo chemba za moyo za chini zina feli kupump damu vizuri na kufanya damu kuganda kwenye sehemu za mguu na pia...
Refer hesabu 21-8
Bwana akamwambia Musa, Jifanyie nyoka ya shaba, ukaiweke juu ya mti, na itakuwa kila mtu aliyeumwa, aitazamapo ataishi.
9 Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu ya mti, hata ikiwa nyoka amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka ya shaba, akaishi.
SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI (CERVICAL CANCER)
Saratani ya shingo ya kizazi ni saratani ambayo hutokana na mabadiliko ya mfumo wa chembechembe au cells zilizoko katika shingo ya kizazi. Mabadiliko haya hupelekea chembe chembe hizo kushamiri na kuzaliana kwa kasi kinyume na mpangilio wa maumbile...
VITILIGO NI NINI? DALILI, CHANZO NA MATIBABU.
Ugonjwa wa vitiligo, ambao pia huitwa leukoderma, husababishwa pale chembe hai zinazotengeneza melanin zinapokufa au kuacha kufanya kazi. Hilo husababisha madoa na mabaka meupe kwenye ngozi. Huathiri watu wote japo hali hii huonekana kwa haraka zaidi...
myplusbee,
Pumu ya ngozi (Eczema)
Pumu ya ngozi au kwa kitaalamu Eczema (atopic dermatitis au atopic eczema) ni ugonjwa wa ngozi unaosababisha kuvimba kwa ngozi (inflammation). Hii huambatana na ngozi kuwasha, kuwa nyekundu, kavu, vipele na mabaka.
Maradhi haya hushambulia zaidi watoto na huweza...
VIDONDA VYA TUMBO-CHANZO NA TIBA YAKE
Ugonjwa wa vidonda vya tumbo ni ugonjwa ambao unatokana na pale utando unaofunika kuta za tumbo na kuzikinga dhidi ya madhara ya tindikali zilizo tumboni unapoharibiwa ama kuchubuliwa. Kwa kawaida tabaka la juu la utumbo hulindwa na ukingo...
1. Homa za mara kwa mara, moja ya dalili za mwanzo kabisa zinazoashiria kuwepo wa virusi vya ukimwi ni pamoja na kupanda kwa joto la mwili hadi nyuzijoto 38 hadi 39 ambapo joto hili nalo hupanda mara kwa mara.
2. Iwapo utapatwa na dalili hii ya homa za mara kwa mara, pia unaweza kupatwa na...
UGONJWA WA KISUKARI ('DIABETES MELLITUS') NI NINI? CHANZO, AINA, DALILI NA TIBA YAKE?
KISUKARI NI NINI HASWA?
Sukari mwilini hutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyotumia kila siku na hutumika kuupa mwili nguvu. Glukosi ni aina ya sukari ambayo huzipa chembe za mwili nishati. Hata hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.