Recent content by MORIO15

  1. MORIO15

    Kwa aliyewahi kuugua ugonjwa wa herpes, tuelimishe unakuwaje

    Ujue Ugonjwa wa Herpes na Matibabu Yake Herpes ni nini? Herpes ni ugonjwa wa virusi unaosababishwa na virusi vya Herpes Simplex Virus (HSV). Kuna aina kuu mbili za virusi hivi: HSV-1 (Herpes Simplex Virus type 1) – Husababisha vidonda vya mdomoni (oral herpes), maarufu kama “fever blisters”...
  2. MORIO15

    Matibabu ya hiatal hernia na acid reflux

    Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikilia au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi (Opening) na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiliwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo...
  3. MORIO15

    Kuvimba kwa Tezi Dume (Benign Prostate Hyperplasia BPH) Featured

    (PROSTATE DISORDERS) TEZI DUME NI NINI? Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume anayo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume. Kazi ya tenzi dume ni kutoa majimaji anayochanganyika na mbegu za kiume...
  4. MORIO15

    Naomba msaada wa changamoto za kiafya ninazozipitia

    pima hivi vitu Iron deficiency anemia ni anemia ambapo damu hukosa red blod cells zenye afya na hupelekea mzunguko wa damu kuwa hafifu kwenye mwili. Congestive heart failure. Ambapo chemba za moyo za chini zina feli kupump damu vizuri na kufanya damu kuganda kwenye sehemu za mguu na pia...
  5. MORIO15

    Kwanini "nyoka" huwa anawekwa sana kwenye nembo mbalimbali za mashirika na makampuni?

    Refer hesabu 21-8 Bwana akamwambia Musa, Jifanyie nyoka ya shaba, ukaiweke juu ya mti, na itakuwa kila mtu aliyeumwa, aitazamapo ataishi. 9 Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu ya mti, hata ikiwa nyoka amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka ya shaba, akaishi.
  6. MORIO15

    Saratani ya Mlango wa Kizazi inavyowatesa wanawake wengi duniani

    SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI (CERVICAL CANCER) Saratani ya shingo ya kizazi ni saratani ambayo hutokana na mabadiliko ya mfumo wa chembechembe au cells zilizoko katika shingo ya kizazi. Mabadiliko haya hupelekea chembe chembe hizo kushamiri na kuzaliana kwa kasi kinyume na mpangilio wa maumbile...
  7. MORIO15

    Msaada, napatwa na muwasho sehemu za siri

    Hii ni dalili ya yeast infections
  8. MORIO15

    Fahamu zaidi kuhusu la ugonjwa wa Vitiligo na tiba yake

    VITILIGO NI NINI? DALILI, CHANZO NA MATIBABU. Ugonjwa wa vitiligo, ambao pia huitwa leukoderma, husababishwa pale chembe hai zinazotengeneza melanin zinapokufa au kuacha kufanya kazi. Hilo husababisha madoa na mabaka meupe kwenye ngozi. Huathiri watu wote japo hali hii huonekana kwa haraka zaidi...
  9. MORIO15

    Naomba msaada wa kupata tiba ya pumu ya ngozi kwa ndugu yangu

    myplusbee, Pumu ya ngozi (Eczema) Pumu ya ngozi au kwa kitaalamu Eczema (atopic dermatitis au atopic eczema) ni ugonjwa wa ngozi unaosababisha kuvimba kwa ngozi (inflammation). Hii huambatana na ngozi kuwasha, kuwa nyekundu, kavu, vipele na mabaka. Maradhi haya hushambulia zaidi watoto na huweza...
  10. MORIO15

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    VIDONDA VYA TUMBO-CHANZO NA TIBA YAKE Ugonjwa wa vidonda vya tumbo ni ugonjwa ambao unatokana na pale utando unaofunika kuta za tumbo na kuzikinga dhidi ya madhara ya tindikali zilizo tumboni unapoharibiwa ama kuchubuliwa. Kwa kawaida tabaka la juu la utumbo hulindwa na ukingo...
  11. MORIO15

    VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

    1. Homa za mara kwa mara, moja ya dalili za mwanzo kabisa zinazoashiria kuwepo wa virusi vya ukimwi ni pamoja na kupanda kwa joto la mwili hadi nyuzijoto 38 hadi 39 ambapo joto hili nalo hupanda mara kwa mara. 2. Iwapo utapatwa na dalili hii ya homa za mara kwa mara, pia unaweza kupatwa na...
  12. MORIO15

    Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

    UGONJWA WA KISUKARI ('DIABETES MELLITUS') NI NINI? CHANZO, AINA, DALILI NA TIBA YAKE? KISUKARI NI NINI HASWA? Sukari mwilini hutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyotumia kila siku na hutumika kuupa mwili nguvu. Glukosi ni aina ya sukari ambayo huzipa chembe za mwili nishati. Hata hivyo...
Back
Top Bottom