Wakati Fulani unajiuliza Hawa watu aina ya Huyu bwana Deus Seif ambaye ni katibu mkuu wa Chama Cha walimu Tanzania anatoa wapi Nguvu kubwa aliyonayo hata Leo hii aendelee kutesa na cheo alichonacho pamoja na tuhuma zote alizo nazo.
Bwana huyu tangu ameajiriwa na Chama Cha walimu akitoka kuwa...
Wasalaam wadau,
Wakati fulani katika awamu ya tano, kiliibuka kikundi cha kusifu na kuabudu viongozi hata kufikia kutaka kubadili katiba ili kuwaongoza muda viongozi walio madarakani, sio nia ya bandiko langu kutweza utu au legacy ya hayati mwenyekiti wangu Dkt. JPM bali kuwakumbusha waabudu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.